Methali 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mwanamke mwenye hekima kwelikweli amejenga nyumba yake,+ lakini aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.+ 1 Timotheo 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 mwenye kutolewa ushahidi juu ya matendo yaliyo mazuri,+ ikiwa alilea watoto,+ ikiwa alipokea wageni,+ ikiwa aliosha miguu ya watakatifu,+ ikiwa aliwasaidia wale walio katika dhiki,+ ikiwa alifuata kwa bidii kila tendo jema.+ Tito 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 wawe na utimamu wa akili, safi kiadili,+ wafanyakazi nyumbani, wema, wakijitiisha+ kwa waume zao wenyewe, ili neno la Mungu lisitukanwe.+
14 Mwanamke mwenye hekima kwelikweli amejenga nyumba yake,+ lakini aliye mpumbavu huibomoa kwa mikono yake mwenyewe.+
10 mwenye kutolewa ushahidi juu ya matendo yaliyo mazuri,+ ikiwa alilea watoto,+ ikiwa alipokea wageni,+ ikiwa aliosha miguu ya watakatifu,+ ikiwa aliwasaidia wale walio katika dhiki,+ ikiwa alifuata kwa bidii kila tendo jema.+
5 wawe na utimamu wa akili, safi kiadili,+ wafanyakazi nyumbani, wema, wakijitiisha+ kwa waume zao wenyewe, ili neno la Mungu lisitukanwe.+