Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Jipatie hekima,+ jipatie uelewaji.+ Usisahau, wala usiache maneno ya kinywa changu.+

  • Methali 13:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+

  • Methali 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Tega sikio lako usikie maneno ya wenye hekima,+ ili kuutia moyo wako katika ujuzi wangu.+

  • Mhubiri 7:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Ni afadhali kusikia kemeo la mtu mwenye hekima+ kuliko kuwa mtu anayesikia wimbo wa wajinga.+

  • Mathayo 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Ingieni kupitia lango jembamba;+ kwa sababu barabara inayoongoza kwenye uharibifu ni pana na kubwa, na wengi ndio wanaoipitia;

  • Luka 13:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Jitahidini+ sana ili mwingie kupitia mlango mwembamba,+ kwa sababu wengi, ninawaambia ninyi, watajaribu kuingia lakini hawataweza,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki