Methali 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Jipatie hekima,+ jipatie uelewaji.+ Usisahau, wala usiache maneno ya kinywa changu.+ Methali 13:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+ Methali 22:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Tega sikio lako usikie maneno ya wenye hekima,+ ili kuutia moyo wako katika ujuzi wangu.+ Mhubiri 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Ni afadhali kusikia kemeo la mtu mwenye hekima+ kuliko kuwa mtu anayesikia wimbo wa wajinga.+ Mathayo 7:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 “Ingieni kupitia lango jembamba;+ kwa sababu barabara inayoongoza kwenye uharibifu ni pana na kubwa, na wengi ndio wanaoipitia; Luka 13:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Jitahidini+ sana ili mwingie kupitia mlango mwembamba,+ kwa sababu wengi, ninawaambia ninyi, watajaribu kuingia lakini hawataweza,+
20 Anayetembea na watu wenye hekima atakuwa na hekima,+ lakini anayeshirikiana na wajinga atapatwa na mabaya.+
13 “Ingieni kupitia lango jembamba;+ kwa sababu barabara inayoongoza kwenye uharibifu ni pana na kubwa, na wengi ndio wanaoipitia;
24 “Jitahidini+ sana ili mwingie kupitia mlango mwembamba,+ kwa sababu wengi, ninawaambia ninyi, watajaribu kuingia lakini hawataweza,+