Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 28:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Naye akamwambia mwanadamu,

      ‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+

      Na kuacha ubaya ni uelewaji.’”+

  • Methali 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia yaliyo mabaya.+ Nimechukia kujiinua na kiburi+ na njia mbaya na kinywa kipotovu.+

  • Yeremia 32:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Nami nitafanya pamoja nao agano linalodumu mpaka wakati usio na kipimo,+ kwamba mimi sitageuka kutoka nyuma yao, ili niwatendee mema;+ nami nitatia ndani ya moyo wao hali ya kuniogopa mimi ili wasigeuke kando kutoka kwangu.+

  • Ufunuo 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 akisema kwa sauti kubwa: “Mwogopeni Mungu+ na kumpa utukufu,+ kwa sababu saa ya hukumu yake imefika,+ na kwa hiyo mwabuduni Yeye aliyezifanya+ mbingu na dunia na bahari na chemchemi za maji.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki