Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 12:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye akasema nao kulingana na lile shauri la vijana,+ akisema: “Baba yangu aliifanya nira yenu kuwa nzito, lakini mimi nitaizidisha nira yenu. Baba yangu aliwatia ninyi adabu kwa fimbo, lakini mimi nitawatia adabu kwa mijeledi.”+

  • Esta 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Baada ya mambo hayo Mfalme Ahasuero alimtukuza Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ akamwinua+ na kukiweka kiti chake juu ya wakuu wengine wote waliokuwa pamoja naye.+

  • Methali 28:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Waadilifu wanaposhangilia,+ kuna uzuri mwingi; lakini waovu wanaposimama, mtu hujifanya asitambulike.+

  • Mhubiri 4:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Mtoto mwenye uhitaji lakini mwenye hekima+ ni afadhali kuliko mfalme mzee lakini mjinga,+ ambaye haoni tena haja ya kukubali onyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki