2 Samweli 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Basi wale wana watatu wa Seruya+ walikuwa hapo, Yoabu+ na Abishai+ na Asaheli;+ na Asaheli alikuwa mwepesi kwa miguu yake, kama mmoja wa swala+ walio porini. Wimbo wa Sulemani 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mpenzi wangu anafanana na swala+ au mtoto wa paa. Tazama! Anasimama nyuma ya ukuta wetu, akichungulia madirishani, akitazama kupitia pazia.+ Wimbo wa Sulemani 8:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kimbia, mpenzi wangu, ujifanye kama swala au kama mtoto wa paa juu ya milima ya manukato.”+
18 Basi wale wana watatu wa Seruya+ walikuwa hapo, Yoabu+ na Abishai+ na Asaheli;+ na Asaheli alikuwa mwepesi kwa miguu yake, kama mmoja wa swala+ walio porini.
9 Mpenzi wangu anafanana na swala+ au mtoto wa paa. Tazama! Anasimama nyuma ya ukuta wetu, akichungulia madirishani, akitazama kupitia pazia.+