10 Kwa hiyo wale wakimbiaji+ wakaendelea, wakapita jiji baada ya jiji katika nchi yote ya Efraimu+ na Manase, mpaka Zabuloni; lakini wakaendelea kuwafanyia mzaha na kuwadharau.+
16 Lakini waliendelea kuwadhihaki+ wale wajumbe wa Mungu wa kweli na kuyadharau maneno+ yake na kuwafanyia mzaha+ manabii wake, mpaka ghadhabu+ ya Yehova ikapanda juu ya watu wake, mpaka kukawa hakuna kuponywa.+
7 Umenipumbaza, Ee Yehova, hivi kwamba nikapumbazika. Ulizitumia nguvu zako kunipinga mimi, hivi kwamba ukashinda.+ Nikawa chombo cha kuchekwa mchana kutwa; kila mtu ananidharau.+