Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 29:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na tazama, mababu zetu walianguka kwa upanga,+ na wana wetu na binti zetu na wake zetu walikuwa utekwani kwa sababu ya hayo.+

  • Yeremia 11:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 kwa hiyo Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mimi ninakaza fikira zangu juu yao. Vijana watakufa kwa upanga.+ Wana wao na binti zao watakufa kwa njaa.+

  • Maombolezo 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Mvulana na mwanamume mzee+ wamelala chini katika mavumbi ya barabara.+

      Mabikira wangu na vijana wangu wenyewe wameanguka kwa upanga.+

      Umeua katika siku ya hasira yako.+ Umechinja;+ hukuwa na huruma.+

  • Amosi 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa upanga watakufa—watenda-dhambi wote katika watu wangu,+ wale wanaosema: “Taabu hiyo haitakuja karibu wala kutufikia sisi.” ’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki