2 Mambo ya Nyakati 29:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na tazama, mababu zetu walianguka kwa upanga,+ na wana wetu na binti zetu na wake zetu walikuwa utekwani kwa sababu ya hayo.+ Yeremia 11:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 kwa hiyo Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mimi ninakaza fikira zangu juu yao. Vijana watakufa kwa upanga.+ Wana wao na binti zao watakufa kwa njaa.+ Maombolezo 2:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Mvulana na mwanamume mzee+ wamelala chini katika mavumbi ya barabara.+Mabikira wangu na vijana wangu wenyewe wameanguka kwa upanga.+Umeua katika siku ya hasira yako.+ Umechinja;+ hukuwa na huruma.+ Amosi 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Kwa upanga watakufa—watenda-dhambi wote katika watu wangu,+ wale wanaosema: “Taabu hiyo haitakuja karibu wala kutufikia sisi.” ’+
9 Na tazama, mababu zetu walianguka kwa upanga,+ na wana wetu na binti zetu na wake zetu walikuwa utekwani kwa sababu ya hayo.+
22 kwa hiyo Yehova wa majeshi amesema hivi: “Tazama, mimi ninakaza fikira zangu juu yao. Vijana watakufa kwa upanga.+ Wana wao na binti zao watakufa kwa njaa.+
21 Mvulana na mwanamume mzee+ wamelala chini katika mavumbi ya barabara.+Mabikira wangu na vijana wangu wenyewe wameanguka kwa upanga.+Umeua katika siku ya hasira yako.+ Umechinja;+ hukuwa na huruma.+
10 Kwa upanga watakufa—watenda-dhambi wote katika watu wangu,+ wale wanaosema: “Taabu hiyo haitakuja karibu wala kutufikia sisi.” ’+