37 na mazao yake yamejaa+ kwa ajili ya wafalme+ ambao umeweka juu yetu kwa sababu ya dhambi zetu,+ nao wanatawala juu ya miili yetu na juu ya wanyama wetu wa kufugwa, kulingana na mapenzi yao, nasi tumo katika taabu kubwa.+
7 Nchi yenu ni ukiwa,+ majiji yenu yameteketezwa kwa moto;+ udongo wenu—mbele ya macho yenu wageni+ wanaula,+ na ukiwa huo ni kama maangamizi yaliyofanywa na wageni.+