Zaburi 10:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana mwovu amejisifu kwa sababu ya tamaa yenye ubinafsi ya nafsi yake,+Naye anayepata faida asiyostahili+ amejibariki;נ [Nun]Amekosa kumheshimu Yehova.+ Zaburi 14:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.Hakuna yeyote anayefanya mema.+ Zaburi 36:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Maneno ya kinywa chake ni kuumiza na udanganyifu;+Ameacha kuwa na ufahamu wa kufanya mema.+ Methali 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 moyo unaotunga hila zenye kuumiza,+ miguu iliyo myepesi kukimbilia ubaya,+
3 Kwa maana mwovu amejisifu kwa sababu ya tamaa yenye ubinafsi ya nafsi yake,+Naye anayepata faida asiyostahili+ amejibariki;נ [Nun]Amekosa kumheshimu Yehova.+
14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:“Hakuna Yehova.”+Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.Hakuna yeyote anayefanya mema.+