Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa maana mwovu amejisifu kwa sababu ya tamaa yenye ubinafsi ya nafsi yake,+

      Naye anayepata faida asiyostahili+ amejibariki;

      נ [Nun]

      Amekosa kumheshimu Yehova.+

  • Zaburi 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:

      “Hakuna Yehova.”+

      Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.

      Hakuna yeyote anayefanya mema.+

  • Zaburi 36:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Maneno ya kinywa chake ni kuumiza na udanganyifu;+

      Ameacha kuwa na ufahamu wa kufanya mema.+

  • Methali 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 moyo unaotunga hila zenye kuumiza,+ miguu iliyo myepesi kukimbilia ubaya,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki