22 Nami nitatuma wanyama wa mwituni katikati yenu,+ nao hakika watawaua watoto+ wenu na kukatilia mbali wanyama wenu wa kufugwa na kupunguza hesabu yenu, nazo barabara zenu kwa kweli zitakuwa ukiwa.+
3 “‘Nami nitaweka juu yao familia nne,’+ asema Yehova, ‘upanga wa kuua, na mbwa wa kukokota, na viumbe vinavyoruka vya mbinguni+ na wanyama wa dunia ili wale na kuangamiza.
19 kama vile tu mtu anavyomkimbia simba, kisha dubu anakutana naye; na kama vile alivyoingia ndani ya nyumba akauegemeza mkono wake ukutani, naye nyoka akamuuma.+