Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 3:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Naye akajibu: “Kwa sababu nitakuwa pamoja nawe,+ nayo hii ndiyo ishara kwako ya kwamba mimi ndiye niliyekutuma:+ Baada ya kuwatoa watu hao Misri, ninyi mtamtumikia Mungu wa kweli kwenye mlima huu.”+

  • Kumbukumbu la Torati 31:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Iweni hodari na wenye nguvu.+ Usiogope wala kushtuka mbele yao,+ kwa sababu Yehova Mungu wako ndiye anayepiga mwendo pamoja nawe. Hatakutupa wala kukuacha kabisa.”+

  • Yoshua 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Hakuna yeyote atakayesimama imara mbele yako siku zote za maisha yako.+ Nitakuwa pamoja nawe,+ kama vile nilivyokuwa pamoja na Musa. Sitakutupa wala kukuacha kabisa.+

  • Yeremia 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Nami nimekufanya wewe kuwa ukuta wa shaba wenye ngome kwa watu hawa;+ nao hakika watapigana nawe, lakini hawatakushinda.+ Kwa maana mimi niko pamoja nawe, ili kukuokoa na kukukomboa,”+ asema Yehova.

  • Matendo 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 kwa sababu mimi nipo pamoja na wewe+ na hakuna mtu atakayekushambulia ili kukutendea jambo baya; kwa maana nina watu wengi katika jiji hili.”

  • Matendo 26:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 huku mimi nikikukomboa kutoka kwa watu hawa na kutoka katika mataifa, ambao kwao ninakutuma wewe,+

  • 2 Wakorintho 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kutoka katika kitu kikubwa sana kama kifo alituokoa naye atatuokoa;+ na tumaini letu limo katika yeye kwamba atatuokoa zaidi pia.+

  • Waebrania 13:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Hivi kwamba tuwe hodari+ na kusema: “Yehova ni msaidizi wangu; sitaogopa. Mwanadamu anaweza kunitenda nini?”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki