Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 15:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Naye akaendelea kufanya yaliyokuwa mabaya machoni pa Yehova.+ Hakuziacha dhambi zote za Yeroboamu+ mwana wa Nebati, alizosababisha Israeli kutenda dhambi,+ siku zake zote.

  • 2 Wafalme 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 na hapo katika mahali pote pa juu wakaendelea kufukiza moshi wa dhabihu sawa na mataifa+ ambayo Yehova alikuwa ameyapeleka uhamishoni kwa sababu yao, nao wakaendelea kutenda mambo mabaya ili kumtia uchungu+ Yehova;

  • 2 Wafalme 17:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo Yehova akakasirikia+ Israeli sana, hivi kwamba akawaondoa machoni pake.+ Hakuacha yeyote abaki isipokuwa kabila la Yuda peke yake.+

  • Yeremia 7:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “‘Hata hivyo, nendeni, sasa, mahali pangu palipokuwa katika Shilo,+ ambapo nilifanya jina langu likae hapo pale mwanzoni,+ na kuona nilivyopafanya kwa sababu ya ubaya wa watu wangu Israeli.+

  • Yeremia 11:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “Na Yehova wa majeshi, Mpandaji wako,+ ametangaza msiba juu yako kwa sababu ya ubaya wa nyumba ya Israeli+ na nyumba ya Yuda ambao wametenda kwa upande wao ili kunitia uchungu kwa kumfukizia Baali moshi wa dhabihu.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki