Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 4:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kwa maana Yehova Mungu wako ni moto unaoteketeza,+ Mungu anayetaka watu wajitoe kikamili.+

  • Zaburi 21:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Utawafanya wawe kama tanuru yenye moto wakati wako uliowekwa wa kukaza uangalifu wako;+

      Yehova atawameza katika hasira yake, na moto utawateketeza.+

  • Isaya 30:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Kwa maana Tofethi+ yake imepangwa kuanzia majuzi; pia imetayarishwa kwa ajili ya mfalme mwenyewe.+ Yeye amefanya fungu lake liwe na kina kirefu. Kuna moto na kuni kwa wingi. Pumzi ya Yehova, kama mto wa kiberiti, inawaka juu yake.+

  • Yeremia 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Enyi nyumba ya Daudi,+ Yehova amesema hivi: “Kila asubuhi+ toeni hukumu kwa haki,+ na kumkomboa kutoka mkononi mwa mpunjaji yeye anayenyang’anywa,+ ili ghadhabu yangu isitoke kama moto+ na kuteketeza na kusiwe na yeyote wa kuuzima kwa sababu ya ubaya wa matendo yenu.”’+

  • Ezekieli 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kama kukusanya fedha na shaba na chuma+ na risasi na bati katikati ya tanuru, ili kupuliza+ juu yake kwa moto kusudi ziyeyuke,+ ndivyo nitakavyowakusanya wao pamoja katika hasira yangu na katika ghadhabu yangu, nami nitawapuliza na kuwayeyusha ninyi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki