Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 109:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa sababu hakukumbuka kuonyesha fadhili zenye upendo,+

      Bali aliendelea kumfuatilia mtu mwenye kuteseka na aliye maskini+

      Na mwenye huzuni moyoni, ili kumuua.+

  • Obadia 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kwa maana siku ya Yehova juu ya mataifa yote iko karibu.+ Kama ulivyofanya, ndivyo utakavyofanyiwa.+ Matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako mwenyewe.+

  • Waroma 2:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+

  • Wagalatia 6:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki