Zaburi 109:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa sababu hakukumbuka kuonyesha fadhili zenye upendo,+Bali aliendelea kumfuatilia mtu mwenye kuteseka na aliye maskini+Na mwenye huzuni moyoni, ili kumuua.+ Obadia 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kwa maana siku ya Yehova juu ya mataifa yote iko karibu.+ Kama ulivyofanya, ndivyo utakavyofanyiwa.+ Matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako mwenyewe.+ Waroma 2:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+ Wagalatia 6:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Msipotoshwe:+ Mungu si wa kudhihakiwa.+ Kwa maana lolote lile analopanda mtu, atavuna hilo pia;+
16 Kwa sababu hakukumbuka kuonyesha fadhili zenye upendo,+Bali aliendelea kumfuatilia mtu mwenye kuteseka na aliye maskini+Na mwenye huzuni moyoni, ili kumuua.+
15 Kwa maana siku ya Yehova juu ya mataifa yote iko karibu.+ Kama ulivyofanya, ndivyo utakavyofanyiwa.+ Matendo yako yatakurudia juu ya kichwa chako mwenyewe.+