5 Nao watu wa Ninawi wakaanza kumwamini Mungu,+ ndipo wakatangaza kufunga na kuvaa nguo za magunia,+ kutoka aliye mkubwa zaidi kati yao mpaka aliye mdogo zaidi.
21 “Ole wako, Korazini! Ole wako, Bethsaida!+ kwa sababu kama zile kazi zenye nguvu zingalifanyika katika Tiro na Sidoni ambazo zilifanyika ndani yenu, wangalitubu zamani za kale katika nguo ya gunia na majivu.+
41 Watu wa Ninawi watasimama katika hukumu pamoja na kizazi hiki+ nao watakihukumu kuwa chenye hatia;+ kwa sababu wao walitubu juu ya lile alilohubiri Yona,+ lakini, tazama! mtu mkuu kuliko Yona yuko hapa.
46 Na kwa hiyo, wakiongea kwa ujasiri, Paulo na Barnaba wakasema: “Ilikuwa lazima neno la Mungu lihubiriwe kwenu kwanza.+ Kwa kuwa mnalisukumia mbali+ kutoka kwenu na hamjioni kuwa mnastahili uzima wa milele, tazameni! tunawageukia mataifa.+