24 Na miti yote ya shambani italazimika kujua kwamba mimi mwenyewe, Yehova,+ nimeushusha ule mti mrefu,+ nimeuweka juu ule mti mfupi,+ nimeukausha ule mti ambao ungali mbichi+ na kuufanya mti uliokauka uchipuke. Mimi mwenyewe, Yehova, nimesema nami nimefanya+ hilo.” ’ ”