Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Bila shaka umepiga+ Edomu, na moyo wako umekuinua.+ Furahia heshima+ yako na ukae nyumbani kwako mwenyewe. Kwa nini, basi, ujiingize katika mzozo+ chini ya hali zisizofaa+ hata uanguke, wewe na Yuda pamoja nawe?”

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Hata hivyo, mara tu alipopata nguvu, moyo wake ukawa na majivuno+ hata kufikia hatua ya kusababisha uharibifu,+ hivi kwamba akatenda kwa ukosefu wa uaminifu kwa Yehova Mungu wake, akaingia katika hekalu la Yehova ili kufukiza uvumba juu ya madhabahu ya uvumba.+

  • Methali 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kiburi hutangulia kuanguka,+ na roho ya majivuno hutangulia kujikwaa.+

  • Ezekieli 28:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Mwana wa binadamu, mwambie kiongozi wa Tiro, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi:

      “ ‘ “Kwa sababu moyo wako umekuwa na majivuno,+ nawe unaendelea kusema, ‘Mimi ni mungu.+ Katika kiti cha mungu nimejiketisha mwenyewe,+ katika moyo wa bahari kuu,’+ wakati ambapo wewe ni mtu wa udongo,+ wala si mungu,+ nawe unaendelea kuufanya moyo wako kama moyo wa mungu—

  • Danieli 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini moyo wake ulipojivuna na roho yake ikawa ngumu, akatenda kwa kimbelembele,+ alishushwa kutoka katika kiti cha ufalme wake, akaondolewa heshima yake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki