Methali 11:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Anayetafuta mema ataendelea kutafuta nia njema;+ lakini anayetafuta ubaya, huo utamjia.+ Isaya 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+ Mika 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+ Waroma 2:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 uzima wa milele kwa wale wanaotafuta utukufu na heshima na kutoharibika,+ kwa uvumilivu katika kazi iliyo njema;
16 Jiosheni;+ jisafisheni;+ ondoeni ubaya wa matendo yenu mbele za macho yangu;+ acheni kutenda mabaya.+
8 Ee mtu wa udongo, yeye amekuambia yaliyo mema.+ Na Yehova anataka nini kutoka kwako ila kutenda haki+ na kupenda fadhili+ na kuwa na kiasi+ katika kutembea na Mungu wako?+
7 uzima wa milele kwa wale wanaotafuta utukufu na heshima na kutoharibika,+ kwa uvumilivu katika kazi iliyo njema;