Esta 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wakamtundika Hamani juu ya mti+ ambao alikuwa ameweka tayari kwa ajili ya Mordekai;+ nayo ghadhabu ya mfalme ikapungua. Zaburi 7:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Amechimbua shimo, naye akalichimba;+Lakini ataanguka katika shimo alilolifanyiza.+ Zaburi 10:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika majivuno yake, mwovu humfuatilia vikali mwenye kuteseka;+Wanakamatwa na mawazo ambayo wametunga.+ Methali 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mtu mbaya huendelea kutafuta uasi tu,+ na mjumbe anayetumwa kwake ni mkatili.+
10 Nao wakamtundika Hamani juu ya mti+ ambao alikuwa ameweka tayari kwa ajili ya Mordekai;+ nayo ghadhabu ya mfalme ikapungua.
2 Katika majivuno yake, mwovu humfuatilia vikali mwenye kuteseka;+Wanakamatwa na mawazo ambayo wametunga.+