2 Mambo ya Nyakati 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+ Zaburi 91:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ataniitia, nami nitamjibu.+Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+Nitamwokoa na kumtukuza.+ Isaya 26:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ee Yehova, wakati wa taabu wamekuelekezea fikira zao;+ wametoa mnong’ono wa sala walipopata nidhamu+ yako. Hosea 5:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Nitaenda, nitarudi mahali pangu mpaka watakapoibeba hatia yao;+ nao hakika watautafuta uso wangu.+ Watanitafuta,+ wanapokuwa katika dhiki kali.”+
13 Naye akaendelea kusali kwake Yeye, hivi kwamba Yeye akakubali kusihiwa+ naye kisha Yeye akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake;+ na Manase akapata kujua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+
16 Ee Yehova, wakati wa taabu wamekuelekezea fikira zao;+ wametoa mnong’ono wa sala walipopata nidhamu+ yako.
15 Nitaenda, nitarudi mahali pangu mpaka watakapoibeba hatia yao;+ nao hakika watautafuta uso wangu.+ Watanitafuta,+ wanapokuwa katika dhiki kali.”+