Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.

  • 2 Wafalme 19:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juu

      yake?

      Nawe umepaaza sauti+

      yako juu ya nani

      Na kuinua macho+ yako juu?

      Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+

  • Isaya 10:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Ingawa huenda asiwe hivyo, atakuwa na mwelekeo; ingawa huenda moyo wake usiwe hivyo, atapanga hila, kwa sababu kuangamiza kumo moyoni mwake,+ na kukatilia mbali mataifa yasiyo machache.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki