2 Wafalme 18:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka. 2 Wafalme 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juuyake?Nawe umepaaza sauti+yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+ Isaya 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Ingawa huenda asiwe hivyo, atakuwa na mwelekeo; ingawa huenda moyo wake usiwe hivyo, atapanga hila, kwa sababu kuangamiza kumo moyoni mwake,+ na kukatilia mbali mataifa yasiyo machache.+
13 Na katika mwaka wa kumi na nne wa Mfalme Hezekia, Senakeribu+ mfalme wa Ashuru+ akapanda kuja juu ya majiji yote yenye ngome ya Yuda na kuyateka.
22 Umemdhihaki+ nani na kusema vibaya+ juuyake?Nawe umepaaza sauti+yako juu ya naniNa kuinua macho+ yako juu?Ni juu ya Mtakatifu wa Israeli!+
7 Ingawa huenda asiwe hivyo, atakuwa na mwelekeo; ingawa huenda moyo wake usiwe hivyo, atapanga hila, kwa sababu kuangamiza kumo moyoni mwake,+ na kukatilia mbali mataifa yasiyo machache.+