8 Nawe uniletee mierezi,+ miberoshi+ na misandali+ kutoka Lebanoni,+ kwa maana mimi najua vema kwamba watumishi wako wana uzoefu wa kukata miti ya Lebanoni,+ (na, tazama, watumishi wangu wako pamoja na watumishi wako,)
7 Nao wakawapa pesa+ wachongaji+ wa mawe na mafundi,+ na kuwapa Wasidoni+ na Watiro+ vyakula+ na vinywaji na mafuta,+ ili walete miti ya mierezi kutoka Lebanoni+ mpaka kwenye bahari iliyoko Yopa,+ kulingana na ruhusa waliyopewa na Koreshi+ mfalme wa Uajemi.