10 Usiogope, kwa maana mimi nipo pamoja nawe.+ Usitazame huku na huku, kwa maana mimi ni Mungu wako.+ Nitakutia nguvu.+ Nitakusaidia kwelikweli.+ Nitakushika kwelikweli kwa mkono wangu wa kuume+ wa uadilifu.’+
16 Na kutoka Sayuni Yehova atanguruma, kutoka Yerusalemu atatoa sauti yake.+ Na mbingu na dunia zitatikisika;+ bali Yehova atakuwa kimbilio kwa watu wake,+ na ngome kwa wana wa Israeli.+
8 Katika siku hiyo Yehova atakuwa ulinzi kuzunguka wakaaji wa Yerusalemu;+ na yeye anayejikwaa kati yao atakuwa katika siku hiyo kama Daudi,+ na nyumba ya Daudi kama Mungu,+ kama malaika wa Yehova mbele yao.+