Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 31:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “na hakika jiji litajengwa+ kwa ajili ya Yehova kutoka Mnara wa Hananeli+ mpaka Lango la Pembeni.+

  • Zekaria 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Ndipo akamwambia: “Kimbia, useme na yule kijana pale, umwambie, “ ‘Yerusalemu litakaliwa na watu+ kama nchi ya mashambani iliyo wazi, kwa sababu ya wingi wa watu na wanyama wa kufugwa walio ndani yake.+

  • Zekaria 12:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Nami nitamimina juu ya nyumba ya Daudi na juu ya wakaaji wa Yerusalemu roho ya kibali+ na maombi,+ nao watamtazama Yule waliyemchoma,+ nao wataomboleza juu Yake kama kuombolezea mwana wa pekee; na kutakuwa na maombolezo machungu juu yake kama vile kunapokuwa na maombolezo juu ya mwana mzaliwa wa kwanza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki