35 Ndipo watu wakatokea ili kuona lililokuwa limetukia, nao wakamjia Yesu, wakamkuta yule mtu aliyetokwa na wale roho waovu, akiwa amevaa nguo na akiwa na akili zake timamu, ameketi miguuni pa Yesu; nao wakaogopa.+
3 “Mimi ni Myahudi,+ aliyezaliwa katika Tarso ya Kilikia,+ lakini aliyeelimishwa katika jiji hili miguuni pa Gamalieli,+ nikiwa nimefundishwa kwa usahihi+ kabisa Sheria ya mababu, nikiwa mwenye bidii+ kuhusu Mungu kama vile ninyi nyote mlivyo leo hii.