Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 16:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kwa maana Mwana wa binadamu anakusudiwa kuja katika utukufu wa Baba yake pamoja na malaika zake, na ndipo atakapomlipa kila mmoja kulingana na mwenendo wake.+

  • Mathayo 25:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 “Wakati Mwana wa binadamu+ atakapofika katika utukufu wake, na malaika wote pamoja naye,+ ndipo atakapoketi juu ya kiti chake cha ufalme chenye utukufu.+

  • 1 Wakorintho 4:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo msihukumu+ kitu chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje,+ atakayeyaleta kwenye nuru mambo ya siri yaliyo ya giza+ na pia kuyafunua mashauri ya mioyo,+ na ndipo kila mtu atakapopata sifa yake kutoka kwa Mungu.+

  • Ufunuo 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Kwa uongozi wa roho+ nilikuja kuwa+ katika siku ya Bwana,+ nami nikasikia nyuma yangu sauti yenye nguvu+ kama ile ya tarumbeta,

  • Ufunuo 22:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “Yeye anayetoa ushahidi juu ya mambo haya asema, ‘Ndiyo; mimi ninakuja upesi.’ ”+

      “Amina! Njoo, Bwana Yesu.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki