Kumbukumbu la Torati 6:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 “Sikiliza, Ee Israeli: Yehova Mungu wetu ni Yehova mmoja.+ Marko 12:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Yesu akajibu: “Ya kwanza ni hii, ‘Sikia, Ee Israeli, Yehova Mungu wetu ni Yehova mmoja,+ 1 Wakorintho 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 kwa kweli kwetu sisi kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake, na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana+ mmoja, Yesu Kristo,+ ambaye vitu vyote vimepitia kwake,+ na sisi kupitia yeye. Waefeso 4:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mungu mmoja+ na Baba wa watu wote, aliye juu ya wote na kupitia wote na katika wote. 1 Timotheo 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi+ mmoja kati ya Mungu+ na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+
6 kwa kweli kwetu sisi kuna Mungu mmoja+ aliye Baba,+ ambaye vitu vyote vimetoka kwake, na sisi kwa ajili yake;+ na kuna Bwana+ mmoja, Yesu Kristo,+ ambaye vitu vyote vimepitia kwake,+ na sisi kupitia yeye.
5 Kwa maana kuna Mungu mmoja,+ na mpatanishi+ mmoja kati ya Mungu+ na wanadamu,+ mwanadamu, Kristo Yesu,+