25 Naye atasema maneno mabaya kumhusu yule Aliye Juu Zaidi,+ naye atawasumbua bila kikomo watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi.+ Na yeye atakusudia kubadili nyakati+ na sheria,+ na wao watatiwa mkononi mwake kwa wakati mmoja, na nyakati na nusu ya wakati.+
11 Fanyeni hivi, pia, kwa sababu mnayajua majira, kwamba tayari ni saa ya ninyi kuamka+ kutoka katika usingizi, kwa maana sasa wokovu wetu uko karibu zaidi kuliko wakati tulipokuwa waamini.+