2 Yehova akamwambia Musa: “Mwambie Haruni ndugu yako asiingie mahali patakatifu+ nyuma ya pazia+ mbele ya kifuniko cha sanduku la agano wakati wowote tu, asije akafa,+ kwa sababu nitatokea katika wingu juu ya kifuniko hicho.+
14 “Atachukua kiasi fulani cha damu ya ng’ombe dume+ na kuinyunyiza kwa kidole chake mbele ya kifuniko upande wa mashariki, atanyunyiza kiasi fulani cha damu hiyo mara saba mbele ya kifuniko hicho.+
11 Kisha Daudi akampa Sulemani mwana wake ramani ya ujenzi+ wa ukumbi+ na ya nyumba zake, maghala yake, vyumba vyake vya darini, vyumba vyake vya ndani, na nyumba ya kifuniko cha upatanisho.*+