8Kisha Yehova akamwambia Yoshua: “Usiogope wala usihofu.+ Nenda na wanajeshi wote ulishambulie jiji la Ai. Naam, nimemtia mikononi mwako mfalme wa Ai, watu wake, jiji lake, na nchi yake.+
1Baada ya kifo cha Yoshua,+ Waisraeli* walimuuliza Yehova,+ “Ni nani kati yetu atakayeenda kwanza kupigana na Wakanaani?” 2 Yehova akawajibu, “Kabila la Yuda litaenda kwanza kupigana nao.+ Tazama! Ninaitia nchi hiyo mikononi mwao.”*
3 Sasa, nenda uwashambulie Waamaleki+ na kuwaangamiza+ wao pamoja na vitu vyao vyote. Usiwaache hai;* unapaswa kuwaua,+ wanaume na wanawake, watoto wadogo na wale wanaonyonya, ng’ombe dume na kondoo, ngamia na pia punda.’”+