Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 3:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mfalme alienda Gibeoni kutoa dhabihu huko, kwa maana ndipo palipokuwa mahali maarufu* zaidi pa juu.+ Sulemani alitoa dhabihu 1,000 za kuteketezwa juu ya madhabahu hiyo.+

  • 1 Wafalme 8:63
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Sulemani alimtolea Yehova dhabihu za ushirika:+ Alitoa ng’ombe 22,000 na kondoo 120,000. Basi mfalme na Waisraeli wote wakaizindua nyumba ya Yehova.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Nao wakaendelea kumtolea Yehova dhabihu na kumtolea Yehova dhabihu za kuteketezwa+ siku iliyofuata, ng’ombe dume wachanga 1,000, kondoo dume 1,000, wanakondoo dume 1,000, na matoleo yake ya vinywaji;+ walitoa dhabihu nyingi sana kwa ajili ya Waisraeli wote.+ 22 Wakaendelea kula na kunywa mbele za Yehova siku hiyo kwa shangwe nyingi,+ nao wakamweka Sulemani mwana wa Daudi kuwa mfalme kwa mara ya pili na kumtia mafuta mbele za Yehova ili awe kiongozi,+ na pia Sadoki kuwa kuhani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki