-
Mambo ya Walawi 21:6-8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Wanapaswa kuwa watakatifu mbele za Mungu wao,+ nao hawapaswi kulichafua jina la Mungu wao,+ kwa sababu wanatoa dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto, mkate wa* Mungu wao, lazima wawe watakatifu.+ 7 Hawapaswi kumwoa kahaba,+ mwanamke aliyenajisiwa, au mwanamke aliyetalikiwa na mume wake,+ kwa sababu kuhani ni mtakatifu mbele za Mungu wake. 8 Ni lazima umtakase kuhani,+ kwa sababu ndiye anayetoa mkate wa Mungu wenu. Mnapaswa kumwona kuwa mtakatifu, kwa sababu mimi, Yehova, ninayewatakasa ninyi, ni mtakatifu.+
-