Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 21:6-8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Wanapaswa kuwa watakatifu mbele za Mungu wao,+ nao hawapaswi kulichafua jina la Mungu wao,+ kwa sababu wanatoa dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto, mkate wa* Mungu wao, lazima wawe watakatifu.+ 7 Hawapaswi kumwoa kahaba,+ mwanamke aliyenajisiwa, au mwanamke aliyetalikiwa na mume wake,+ kwa sababu kuhani ni mtakatifu mbele za Mungu wake. 8 Ni lazima umtakase kuhani,+ kwa sababu ndiye anayetoa mkate wa Mungu wenu. Mnapaswa kumwona kuwa mtakatifu, kwa sababu mimi, Yehova, ninayewatakasa ninyi, ni mtakatifu.+

  • Isaya 52:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Ondokeni, ondokeni, tokeni humo,+ msiguse kitu chochote kichafu!+

      Tokeni kati yake,+ iweni safi,

      Ninyi mnaobeba vyombo vya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki