Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sanbalati+ Mhoroni na Tobia+ ofisa* Mwamoni+ waliposikia jambo hilo, walikasirika sana kwa sababu mtu fulani alikuwa amekuja kuwatendea watu wa Israeli jambo jema.

  • Nehemia 6:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa mara tu Sanbalati, Tobia,+ Geshemu Mwarabu,+ na maadui wetu wengine wote walipoambiwa kwamba nimejenga upya+ ukuta na hakuna mwanya wowote ukutani (ingawa kufikia wakati huo sikuwa nimeweka milango kwenye malango),+ 2 mara moja Sanbalati na Geshemu wakanitumia ujumbe wakisema: “Njoo, tupange wakati ili tukutane kwenye vijiji vya Bonde Tambarare la Ono.”+ Lakini walikuwa wakipanga njama ya kunidhuru.

  • Nehemia 13:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mmoja wa wana wa Yoyada+ mwana wa kuhani mkuu Eliashibu+ alikuwa amemwoa binti ya Sanbalati+ Mhoroni. Kwa hiyo nikamfukuza kutoka mbele yangu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki