2 Samweli 22:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akasema: “Yehova ni jabali langu na ngome yangu+ na Mwokozi wangu.+ 3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili. Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+ Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+ Zaburi 144:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yeye ni upendo wangu mshikamanifu na ngome yangu,Kimbilio langu salama* na mwokozi wangu,Ngao yangu na Yule ambaye nimejificha ndani yake,+Yule anayeyatiisha mataifa chini yangu.+
2 Akasema: “Yehova ni jabali langu na ngome yangu+ na Mwokozi wangu.+ 3 Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu+ na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama*+Na mahali pangu pa kukimbilia,+ mwokozi wangu;+ wewe unayeniokoa kutoka katika ukatili.
2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+ Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+
2 Yeye ni upendo wangu mshikamanifu na ngome yangu,Kimbilio langu salama* na mwokozi wangu,Ngao yangu na Yule ambaye nimejificha ndani yake,+Yule anayeyatiisha mataifa chini yangu.+