24 “‘Elamu+ yuko huko pamoja na umati wake wote kulizunguka kaburi lake, wote wakiwa wameuawa kwa upanga. Wameshuka chini bila kutahiriwa katika nchi iliyo chini, wale waliosababisha hofu katika nchi ya walio hai. Sasa watabeba aibu yao pamoja na wale wanaoshuka chini shimoni.*
2 Niliona maono hayo, na nilipokuwa nikiyaona nilikuwa katika ngome ya* Shushani,*+ iliyo katika mkoa wa* Elamu;+ niliona maono hayo, nami nilikuwa kando ya mfereji wa maji wa Ulai.
8 Inakuwaje kwamba kila mmoja wetu anasikia lugha yake ya asili?*9 Waparthi, Wamedi,+ na Waelami,+ wakaaji wa Mesopotamia, Yudea na Kapadokia, Ponto na mkoa wa Asia,+