Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Siku hiyo mzizi wa Yese+ utasimama kama ishara* kwa ajili ya mataifa.+

      Mataifa yatatafuta mwongozo kutoka kwake,*+

      Na mahali pake pa kupumzikia patakuwa na utukufu.

  • Isaya 42:1-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Tazama! Mtumishi wangu,+ ninayemtegemeza!

      Mchaguliwa wangu,+ ambaye nimemkubali!*+

      Nimeitia roho yangu ndani yake;+

      Atayaletea mataifa haki.+

       2 Hatalia kwa sauti wala kupaza sauti yake,

      Naye hatafanya sauti yake isikike barabarani.+

       3 Hataponda tete lililovunjika,

      Wala hatazima utambi unaofifia.+

      Ataleta haki kwa uaminifu.+

       4 Hatafifia wala kupondwa mpaka atakapoimarisha haki duniani;+

      Na visiwa vinaendelea kungojea sheria* yake.

  • Matendo 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Zaidi ya hayo, hakuna wokovu katika mwingine yeyote, kwa maana hakuna jina lingine+ chini ya mbingu walilopewa wanadamu ambalo kupitia hilo tunaweza kuokolewa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki