Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Daudi atiwa mafuta na Waisraeli wote kuwa mfalme (1-3)

      • Daudi ateka jiji la Sayuni (4-9)

      • Mashujaa hodari wa Daudi (10-47)

1 Mambo ya Nyakati 11:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Tuna uhusiano wa damu nawe.”

Marejeo

  • +Hes 13:22; 2Sa 2:1; 5:5; 1Nya 12:23
  • +2Sa 5:1, 2

1 Mambo ya Nyakati 11:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “uliyekuwa ukiwatoa nje na kuwaingiza ndani Waisraeli.”

Marejeo

  • +1Sa 18:6, 13
  • +2Sa 6:21; 7:8, 9; Zb 78:70, 71

1 Mambo ya Nyakati 11:3

Marejeo

  • +1Sa 16:13; 2Sa 2:4; 5:3
  • +1Sa 15:27, 28

1 Mambo ya Nyakati 11:4

Marejeo

  • +Yos 15:63; Amu 1:21; 19:10
  • +Mwa 10:15, 16; 15:18, 21; Kut 3:17

1 Mambo ya Nyakati 11:5

Marejeo

  • +2Sa 5:6-10
  • +1Fa 8:1; Zb 2:6; 48:2
  • +1Fa 2:10

1 Mambo ya Nyakati 11:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kichwa.”

Marejeo

  • +2Sa 2:18

1 Mambo ya Nyakati 11:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Milo.” Neno la Kiebrania linalomaanisha “jaza.”

1 Mambo ya Nyakati 11:9

Marejeo

  • +2Sa 3:1

1 Mambo ya Nyakati 11:10

Marejeo

  • +1Sa 16:12, 13

1 Mambo ya Nyakati 11:11

Marejeo

  • +1Nya 27:1, 2
  • +2Sa 23:8
  • +Yos 23:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 10

1 Mambo ya Nyakati 11:12

Marejeo

  • +2Sa 23:9, 10, 15-17
  • +1Nya 8:1, 4

1 Mambo ya Nyakati 11:13

Marejeo

  • +1Sa 17:1

1 Mambo ya Nyakati 11:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wokovu.”

Marejeo

  • +Zb 18:50

1 Mambo ya Nyakati 11:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “Nchi Tambarare ya Chini ya.”

Marejeo

  • +1Sa 22:1
  • +Yos 15:8, 12; 2Sa 23:13-17

1 Mambo ya Nyakati 11:17

Marejeo

  • +1Sa 20:6

1 Mambo ya Nyakati 11:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2012, uku. 6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 11/15 6

1 Mambo ya Nyakati 11:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nafsi zao.”

Marejeo

  • +Mwa 9:4; Law 17:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2012, uku. 6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 11/15 6

1 Mambo ya Nyakati 11:20

Marejeo

  • +1Sa 26:6; 2Sa 2:18; 18:2
  • +2Sa 3:30
  • +2Sa 23:18, 19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 10

1 Mambo ya Nyakati 11:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 10

1 Mambo ya Nyakati 11:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwana wa mwanamume jasiri.”

Marejeo

  • +1Fa 4:4; 1Nya 27:1, 5
  • +Yos 15:21
  • +Amu 14:5, 6; 1Sa 17:36, 37; 2Sa 23:20-23

1 Mambo ya Nyakati 11:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Urefu wake ulikuwa karibu mita 2.23 (futi 7.3). Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +1Sa 17:4
  • +1Sa 17:7
  • +1Sa 17:51

1 Mambo ya Nyakati 11:25

Marejeo

  • +1Nya 11:19

1 Mambo ya Nyakati 11:26

Marejeo

  • +2Sa 2:18, 23; 1Nya 27:1, 7
  • +2Sa 23:24-39

1 Mambo ya Nyakati 11:28

Marejeo

  • +1Nya 27:1, 9
  • +1Nya 27:1, 12

1 Mambo ya Nyakati 11:29

Marejeo

  • +2Sa 21:18; 1Nya 27:1, 11

1 Mambo ya Nyakati 11:30

Marejeo

  • +1Nya 27:1, 13
  • +1Nya 27:1, 15

1 Mambo ya Nyakati 11:31

Marejeo

  • +Amu 20:15; 1Nya 12:1, 2

1 Mambo ya Nyakati 11:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Yos 24:30

1 Mambo ya Nyakati 11:41

Marejeo

  • +2Sa 11:3, 17; 12:9; 1Fa 15:5

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 11:1Hes 13:22; 2Sa 2:1; 5:5; 1Nya 12:23
1 Nya. 11:12Sa 5:1, 2
1 Nya. 11:21Sa 18:6, 13
1 Nya. 11:22Sa 6:21; 7:8, 9; Zb 78:70, 71
1 Nya. 11:31Sa 16:13; 2Sa 2:4; 5:3
1 Nya. 11:31Sa 15:27, 28
1 Nya. 11:4Yos 15:63; Amu 1:21; 19:10
1 Nya. 11:4Mwa 10:15, 16; 15:18, 21; Kut 3:17
1 Nya. 11:52Sa 5:6-10
1 Nya. 11:51Fa 8:1; Zb 2:6; 48:2
1 Nya. 11:51Fa 2:10
1 Nya. 11:62Sa 2:18
1 Nya. 11:92Sa 3:1
1 Nya. 11:101Sa 16:12, 13
1 Nya. 11:111Nya 27:1, 2
1 Nya. 11:112Sa 23:8
1 Nya. 11:11Yos 23:10
1 Nya. 11:122Sa 23:9, 10, 15-17
1 Nya. 11:121Nya 8:1, 4
1 Nya. 11:131Sa 17:1
1 Nya. 11:14Zb 18:50
1 Nya. 11:151Sa 22:1
1 Nya. 11:15Yos 15:8, 12; 2Sa 23:13-17
1 Nya. 11:171Sa 20:6
1 Nya. 11:19Mwa 9:4; Law 17:10
1 Nya. 11:201Sa 26:6; 2Sa 2:18; 18:2
1 Nya. 11:202Sa 3:30
1 Nya. 11:202Sa 23:18, 19
1 Nya. 11:221Fa 4:4; 1Nya 27:1, 5
1 Nya. 11:22Yos 15:21
1 Nya. 11:22Amu 14:5, 6; 1Sa 17:36, 37; 2Sa 23:20-23
1 Nya. 11:231Sa 17:4
1 Nya. 11:231Sa 17:7
1 Nya. 11:231Sa 17:51
1 Nya. 11:251Nya 11:19
1 Nya. 11:262Sa 2:18, 23; 1Nya 27:1, 7
1 Nya. 11:262Sa 23:24-39
1 Nya. 11:281Nya 27:1, 9
1 Nya. 11:281Nya 27:1, 12
1 Nya. 11:292Sa 21:18; 1Nya 27:1, 11
1 Nya. 11:301Nya 27:1, 13
1 Nya. 11:301Nya 27:1, 15
1 Nya. 11:31Amu 20:15; 1Nya 12:1, 2
1 Nya. 11:32Yos 24:30
1 Nya. 11:412Sa 11:3, 17; 12:9; 1Fa 15:5
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 11:1-47

Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

11 Baada ya muda Waisraeli wote wakakusanyika kwa Daudi kule Hebroni+ na kusema: “Tazama! Sisi ni mfupa wako na nyama yako.*+ 2 Zamani, Sauli alipokuwa mfalme, ni wewe uliyewaongoza Waisraeli vitani.*+ Na Yehova Mungu wako alikuambia hivi: ‘Utawachunga watu wangu Waisraeli, nawe utakuwa kiongozi wa watu wangu Waisraeli.’”+ 3 Basi wazee wote wa Israeli wakaja kwa mfalme huko Hebroni, na Daudi akafanya agano nao huko Hebroni mbele za Yehova. Kisha wakamtia mafuta Daudi awe mfalme wa Israeli,+ kulingana na neno la Yehova kupitia Samweli.+

4 Baadaye Daudi na Waisraeli wote wakaenda Yerusalemu, yaani, Yebusi,+ ambako Wayebusi+ walikuwa wakiishi. 5 Wakaaji wa Yebusi walimdhihaki Daudi wakisema: “Hutaingia humu kamwe!”+ Hata hivyo, Daudi aliiteka ngome ya Sayuni,+ ambayo sasa ni Jiji la Daudi.+ 6 Kwa hiyo Daudi akasema: “Yeyote atakayekuwa wa kwanza kuwashambulia Wayebusi atakuwa kiongozi* na mkuu.” Basi Yoabu+ mwana wa Seruya akawa wa kwanza kupanda huko kuwashambulia, akawa kiongozi. 7 Kisha Daudi akaanza kukaa katika ngome hiyo. Ndiyo sababu waliiita Jiji la Daudi. 8 Akaanza kujenga jiji hilo pande zote, kuanzia kwenye Kilima* mpaka kwenye maeneo yanayozunguka, na Yoabu akajenga upya sehemu zilizobaki za jiji hilo. 9 Kwa hiyo Daudi akawa mkuu zaidi na zaidi,+ na Yehova wa majeshi alikuwa pamoja naye.

10 Sasa hawa ndio viongozi wa mashujaa hodari wa Daudi, waliomuunga mkono kwa dhati katika utawala wake, pamoja na Waisraeli wote, ili wamweke kuwa mfalme kulingana na neno alilosema Yehova kuhusu Israeli.+ 11 Hii ndiyo orodha ya mashujaa hodari wa Daudi: Yashobeamu+ mwana wa Mhakmoni, kiongozi wa wale watatu.+ Wakati mmoja, alitumia mkuki wake kuwaua watu 300.+ 12 Aliyemfuata ni Eleazari+ mwana wa Dodo mwana wa Ahohi.+ Alikuwa miongoni mwa mashujaa hao watatu hodari. 13 Alikuwa na Daudi kule Pas-damimu,+ ambako Wafilisti walikuwa wamekusanyika kwa ajili ya vita. Basi palikuwa na shamba lililojaa shayiri, na watu walikuwa wamekimbia kwa sababu ya Wafilisti. 14 Lakini alisimama katikati ya shamba hilo na kuwazuia Wafilisti wasiingie humo, naye aliendelea kuwaua Wafilisti, hivi kwamba Yehova akawapa ushindi* mkubwa.+

15 Viongozi watatu kati ya wale viongozi 30 walishuka mwambani kwa Daudi, katika pango la Adulamu,+ wakati jeshi la Wafilisti lilipokuwa limepiga kambi katika Bonde la* Refaimu.+ 16 Wakati huo Daudi alikuwa ndani ya ngome, na kikosi cha wanajeshi Wafilisti kilikuwa Bethlehemu. 17 Kisha Daudi akasema alichotamani: “Laiti ningekunywa maji kutoka katika tangi lililo karibu na lango la Bethlehemu!”+ 18 Ndipo wale mashujaa watatu wakaingia kwa nguvu katika kambi ya Wafilisti, wakateka maji kutoka katika tangi hilo lililo karibu na lango la Bethlehemu na kumletea Daudi; lakini Daudi akakataa kuyanywa, akayamwaga mbele za Yehova. 19 Akasema: “Ni jambo nisiloweza kamwe kuwazia, kulingana na maoni ya Mungu wangu, kufanya hivyo! Je, ninywe damu ya wanaume hawa waliohatarisha uhai wao?”*+ Kwa maana walihatarisha uhai wao kwenda kuyaleta. Basi akakataa kuyanywa. Hayo ndiyo mambo waliyotenda mashujaa wake watatu hodari.

20 Abishai+ ndugu ya Yoabu+ akawa kiongozi wa wengine watatu; alitumia mkuki wake kuwaua watu 300, naye alikuwa maarufu kama wale watatu.+ 21 Ingawa alikuwa mashuhuri zaidi kuliko wale wengine watatu, na alikuwa kiongozi wao, hakuwa shujaa kama wale watatu wa kwanza.

22 Benaya+ mwana wa Yehoyada alikuwa mwanamume jasiri* aliyefanya mambo mengi ya kishujaa kule Kabzeeli.+ Aliwaua wana wawili wa Arieli wa Moabu, naye aliingia ndani ya shimo la maji siku ya theluji na kumuua simba.+ 23 Alimuua pia mwanamume Mmisri aliyekuwa mkubwa isivyo kawaida—mwenye urefu wa mikono mitano.*+ Ingawa Mmisri huyo alikuwa na mkuki mkononi kama mti wa wafumaji wa nguo,+ Benaya alikabiliana naye akiwa na fimbo, akamnyang’anya Mmisri huyo mkuki kutoka mkononi mwake na kumuua kwa mkuki wake mwenyewe.+ 24 Benaya mwana wa Yehoyada alifanya mambo hayo, naye alikuwa maarufu kama wale mashujaa watatu hodari. 25 Ingawa alikuwa mashuhuri hata kuliko wale 30, hakuwa shujaa kama wale watatu.+ Lakini Daudi alimweka kuwa kiongozi wa walinzi wake binafsi.

26 Mashujaa hodari jeshini walikuwa Asaheli+ ndugu ya Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo wa Bethlehemu,+ 27 Shamothi Mharori, Helezi Mpeloni, 28 Ira+ mwana wa Ikeshi Mtekoa, Abiezeri+ Mwanathothi, 29 Sibekai+ Mhusha, Ilai Mwahohi, 30 Maharai+ Mnetofa, Heledi+ mwana wa Baana Mnetofa, 31 Ithai mwana wa Ribai wa jiji la Gibea la Wabenjamini,+ Benaya Mpirathoni, 32 Hurai kutoka katika makorongo* ya Gaashi,+ Abieli Mwarbathi, 33 Azmavethi Mbaharumu, Eliaba Mshaalboni, 34 wana wa Hashemu Mgizoni, Yonathani mwana wa Shagee Mharari, 35 Ahiamu mwana wa Sakari Mharari, Elifali mwana wa Uru, 36 Heferi Mmekerathi, Ahiya Mpeloni, 37 Hezro Mkarmeli, Naarai mwana wa Ezbai, 38 Yoeli ndugu ya Nathani, Mibhari mwana wa Hagri, 39 Seleki Mwamoni, Naharai Mberothi, aliyembebea silaha Yoabu mwana wa Seruya; 40 Ira Mwithri, Garebu Mwithri, 41 Uria+ Mhiti, Zabadi mwana wa Alai, 42 Adina mwana wa Shiza Mrubeni, kiongozi wa Warubeni, aliyekuwa na watu 30; 43 Hanani mwana wa Maaka, Yoshafati Mmithini, 44 Uziya Mwashtarothi, Shama na Yeieli, wana wa Hothamu Mwaroeri; 45 Yediaeli mwana wa Shimri, na Yoha ndugu yake, Mtisi; 46 Elieli Mmahawi, Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu, na Ithma Mmoabu; 47 Elieli, Obedi, na Yaasieli Mmesoba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki