Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wafalme—Yaliyomo

      • Azaria, mfalme wa Yuda (1-7)

      • Wafalme wa mwisho wa Israeli: Zekaria (8-12), Shalumu (13-16), Menahemu (17-22), Pekahia (23-26), Peka (27-31)

      • Yothamu, mfalme wa Yuda (32-38)

2 Wafalme 15:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, Yeroboamu wa Pili.

  • *

    Maana yake “Yehova Amesaidia.” Anaitwa Uzia katika 2Fa 15:13; 2Nya 26:1-23; Isa 6:1; na Zek 14:5.

Marejeo

  • +2Fa 14:21
  • +2Fa 14:1
  • +2Nya 26:1, 3

2 Wafalme 15:3

Marejeo

  • +2Nya 26:4, 5

2 Wafalme 15:4

Marejeo

  • +Hes 33:52
  • +Kum 12:13, 14; 1Fa 22:41, 43; 2Fa 14:1, 4

2 Wafalme 15:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba la mfalme.”

Marejeo

  • +Hes 12:10; 2Fa 5:27
  • +Law 13:45, 46
  • +2Fa 15:32
  • +2Nya 26:16-21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2015, uku. 21

    8/1/2005, uku. 11

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 8/1 11

2 Wafalme 15:6

Marejeo

  • +2Nya 26:22, 23

2 Wafalme 15:7

Marejeo

  • +Isa 6:1

2 Wafalme 15:8

Marejeo

  • +2Fa 14:21
  • +2Fa 14:29

2 Wafalme 15:9

Marejeo

  • +1Fa 12:28-30; 13:33; 14:16

2 Wafalme 15:10

Marejeo

  • +Ho. 1:4; Amo 7:9
  • +Yos 17:11

2 Wafalme 15:12

Marejeo

  • +2Fa 13:1, 10; 14:23, 29
  • +2Fa 10:30

2 Wafalme 15:13

Marejeo

  • +2Nya 26:1

2 Wafalme 15:14

Marejeo

  • +1Fa 14:17; 15:21; 16:8, 17
  • +2Fa 15:10

2 Wafalme 15:18

Marejeo

  • +1Fa 12:28-30; 13:33; 14:16

2 Wafalme 15:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Talanta moja ilikuwa na uzito wa kilogramu 34.2. Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +1Nya 5:26
  • +2Fa 12:18; 16:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” kur. 69-70

    Mnara wa Mlinzi,

    2/15/1988, uku. 26

2 Wafalme 15:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Shekeli moja ilikuwa na uzito wa gramu 11.4. Angalia Nyongeza B14.

Marejeo

  • +2Fa 23:35

2 Wafalme 15:21

Marejeo

  • +2Fa 15:14

2 Wafalme 15:24

Marejeo

  • +1Fa 12:28-30; 13:33; 14:16

2 Wafalme 15:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba la mfalme.”

Marejeo

  • +2Nya 28:6

2 Wafalme 15:27

Marejeo

  • +2Nya 28:6; Isa 7:1, 4

2 Wafalme 15:28

Marejeo

  • +1Fa 12:28-30; 13:33; 14:16

2 Wafalme 15:29

Marejeo

  • +2Fa 16:7; 1Nya 5:6, 26; 2Nya 28:19, 20
  • +1Fa 15:20
  • +Yos 20:7, 9
  • +Isa 9:1
  • +Hes 32:40
  • +Law 26:38; Kum 28:64; 2Fa 17:22, 23; Isa 8:4

2 Wafalme 15:30

Marejeo

  • +2Fa 17:1
  • +2Nya 27:1

2 Wafalme 15:32

Marejeo

  • +2Nya 27:7; Mt 1:9
  • +2Fa 14:21

2 Wafalme 15:33

Marejeo

  • +2Nya 27:1

2 Wafalme 15:34

Marejeo

  • +2Nya 27:2

2 Wafalme 15:35

Marejeo

  • +Hes 33:52; Kum 12:14
  • +2Nya 27:3

2 Wafalme 15:37

Marejeo

  • +2Fa 15:27; 2Nya 28:6
  • +2Fa 16:5; Isa 7:1, 2

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Fal. 15:12Fa 14:21
2 Fal. 15:12Fa 14:1
2 Fal. 15:12Nya 26:1, 3
2 Fal. 15:32Nya 26:4, 5
2 Fal. 15:4Hes 33:52
2 Fal. 15:4Kum 12:13, 14; 1Fa 22:41, 43; 2Fa 14:1, 4
2 Fal. 15:5Hes 12:10; 2Fa 5:27
2 Fal. 15:5Law 13:45, 46
2 Fal. 15:52Fa 15:32
2 Fal. 15:52Nya 26:16-21
2 Fal. 15:62Nya 26:22, 23
2 Fal. 15:7Isa 6:1
2 Fal. 15:82Fa 14:21
2 Fal. 15:82Fa 14:29
2 Fal. 15:91Fa 12:28-30; 13:33; 14:16
2 Fal. 15:10Ho. 1:4; Amo 7:9
2 Fal. 15:10Yos 17:11
2 Fal. 15:122Fa 13:1, 10; 14:23, 29
2 Fal. 15:122Fa 10:30
2 Fal. 15:132Nya 26:1
2 Fal. 15:141Fa 14:17; 15:21; 16:8, 17
2 Fal. 15:142Fa 15:10
2 Fal. 15:181Fa 12:28-30; 13:33; 14:16
2 Fal. 15:191Nya 5:26
2 Fal. 15:192Fa 12:18; 16:8
2 Fal. 15:202Fa 23:35
2 Fal. 15:212Fa 15:14
2 Fal. 15:241Fa 12:28-30; 13:33; 14:16
2 Fal. 15:252Nya 28:6
2 Fal. 15:272Nya 28:6; Isa 7:1, 4
2 Fal. 15:281Fa 12:28-30; 13:33; 14:16
2 Fal. 15:292Fa 16:7; 1Nya 5:6, 26; 2Nya 28:19, 20
2 Fal. 15:291Fa 15:20
2 Fal. 15:29Yos 20:7, 9
2 Fal. 15:29Isa 9:1
2 Fal. 15:29Hes 32:40
2 Fal. 15:29Law 26:38; Kum 28:64; 2Fa 17:22, 23; Isa 8:4
2 Fal. 15:302Fa 17:1
2 Fal. 15:302Nya 27:1
2 Fal. 15:322Nya 27:7; Mt 1:9
2 Fal. 15:322Fa 14:21
2 Fal. 15:332Nya 27:1
2 Fal. 15:342Nya 27:2
2 Fal. 15:35Hes 33:52; Kum 12:14
2 Fal. 15:352Nya 27:3
2 Fal. 15:372Fa 15:27; 2Nya 28:6
2 Fal. 15:372Fa 16:5; Isa 7:1, 2
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wafalme 15:1-38

Kitabu cha Pili cha Wafalme

15 Katika mwaka wa 27 wa utawala wa Mfalme Yeroboamu* wa Israeli, Azaria*+ mwana wa Mfalme Amazia+ wa Yuda akawa mfalme.+ 2 Alikuwa na umri wa miaka 16 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 52 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Yekolia wa Yerusalemu. 3 Aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, kama alivyotenda Amazia baba yake.+ 4 Hata hivyo, mahali pa juu hapakuondolewa,+ na watu bado walikuwa wakitoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu mahali pa juu.+ 5 Yehova alimletea mfalme pigo, naye aliendelea kuwa na ukoma+ mpaka siku aliyokufa; alikaa katika nyumba iliyotengwa,+ huku Yothamu mwana wa mfalme+ akiisimamia nyumba ya mfalme,* akiwahukumu watu nchini.+ 6 Na mambo mengine katika historia ya Azaria,+ mambo yote aliyofanya, je, hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? 7 Kisha Azaria akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake+ katika Jiji la Daudi; na Yothamu mwanawe akawa mfalme baada yake.

8 Katika mwaka wa 38 wa utawala wa Mfalme Azaria+ wa Yuda, Zekaria+ mwana wa Yeroboamu akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miezi sita. 9 Alitenda maovu machoni pa Yehova, kama walivyotenda mababu zake. Hakuacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati alizosababisha Waisraeli kutenda.+ 10 Kisha Shalumu mwana wa Yabeshi akapanga njama dhidi yake na kumuua+ huko Ibleamu.+ Baada ya kumuua, Shalumu akawa mfalme. 11 Na mambo mengine katika historia ya Zekaria yameandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli. 12 Hilo lilitimiza neno hili la Yehova alilokuwa amemwambia Yehu: “Vizazi vinne vya wana wako+ vitaketi kwenye kiti cha ufalme cha Israeli.”+ Na ikawa hivyo.

13 Shalumu mwana wa Yabeshi akawa mfalme katika mwaka wa 39 wa utawala wa Mfalme Uzia+ wa Yuda, naye alitawala kwa mwezi mmoja kamili huko Samaria. 14 Kisha Menahemu mwana wa Gadi akapanda kutoka Tirsa+ na kuja Samaria, akamuua Shalumu+ mwana wa Yabeshi huko Samaria. Baada ya kumuua, akawa mfalme. 15 Mambo mengine katika historia ya Shalumu na njama aliyopanga, yameandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli. 16 Wakati huo ndipo Menahemu alipokuja kutoka Tirsa na kuliangamiza jiji la Tifsa na wote waliokuwa katika jiji hilo na katika eneo lake, kwa sababu hawakumfungulia malango ya jiji hilo. Aliliangamiza na kuwapasua tumbo wanawake wenye mimba wa jiji hilo.

17 Katika mwaka wa 39 wa utawala wa Mfalme Azaria wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akawa mfalme wa Israeli, naye alitawala kwa miaka kumi huko Samaria. 18 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova. Na sikuzote za utawala wake hakuacha dhambi zote za Yeroboamu mwana wa Nebati alizosababisha Waisraeli kutenda.+ 19 Mfalme Pulu+ wa Ashuru aliingia nchini, na Menahemu akampa Pulu talanta 1,000 za fedha* ili amsaidie kuimarisha mamlaka yake katika ufalme huo.+ 20 Kwa hiyo Menahemu alikusanya fedha hizo kwa kuwatoza ushuru wanaume mashuhuri na matajiri wa Israeli.+ Akampa mfalme wa Ashuru shekeli 50 za fedha* kwa kila mwanamume. Kisha mfalme wa Ashuru akarudi, hakukaa nchini. 21 Na mambo mengine katika historia ya Menahemu,+ mambo yote aliyofanya, je, hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli? 22 Kisha Menahemu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake; na Pekahia mwana wake akawa mfalme baada yake.

23 Katika mwaka wa 50 wa utawala wa Mfalme Azaria wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miaka miwili. 24 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova. Hakuacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati alizosababisha Waisraeli kutenda.+ 25 Kisha Peka+ mwana wa Remalia kamanda wake msaidizi akapanga njama dhidi yake na kumuua huko Samaria katika mnara wenye ngome wa nyumba ya mfalme* pamoja na Argobu na Arie. Alikuwa pamoja na wanaume 50 wa Gileadi; na baada ya kumuua, akawa mfalme. 26 Na mambo mengine katika historia ya Pekahia, mambo yote aliyofanya, yameandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli.

27 Katika mwaka wa 52 wa utawala wa Mfalme Azaria wa Yuda, Peka+ mwana wa Remalia akawa mfalme wa Israeli huko Samaria, naye alitawala kwa miaka 20. 28 Aliendelea kutenda maovu machoni pa Yehova, naye hakuacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nebati alizosababisha Waisraeli kutenda.+ 29 Katika siku za utawala wa Mfalme Peka wa Israeli, Mfalme Tiglath-pileseri+ wa Ashuru alivamia na kuteka Iyoni, Abel-beth-maaka,+ Yanoa, Kedeshi, Hasori, Gileadi,+ na Galilaya,+ nchi yote ya Naftali,+ akawapeleka wakaaji wa maeneo hayo uhamishoni kule Ashuru.+ 30 Kisha Hoshea+ mwana wa Ela akapanga njama dhidi ya Peka mwana wa Remalia, akampiga na kumuua; naye akawa mfalme baada yake katika mwaka wa 20 wa utawala wa Yothamu+ mwana wa Uzia. 31 Na mambo mengine katika historia ya Peka, mambo yote aliyofanya, yameandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Israeli.

32 Katika mwaka wa pili wa utawala wa Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli, Yothamu+ mwana wa Mfalme Uzia+ wa Yuda akawa mfalme. 33 Alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 16 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Yerusha binti ya Sadoki.+ 34 Aliendelea kutenda yaliyokuwa sawa machoni pa Yehova, kama alivyofanya Uzia baba yake.+ 35 Hata hivyo, mahali pa juu hapakuondolewa, na watu bado walikuwa wakitoa dhabihu na kufukiza moshi wa dhabihu mahali pa juu.+ Yeye ndiye aliyejenga lango la juu la nyumba ya Yehova.+ 36 Na mambo mengine katika historia ya Yothamu, mambo aliyofanya, je, hayajaandikwa katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? 37 Siku hizo Yehova alianza kumtuma Resini mfalme wa Siria na Peka+ mwana wa Remalia kushambulia Yuda.+ 38 Kisha Yothamu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi babu yake. Na Ahazi mwanawe akawa mfalme baada yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki