Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Kumbukumbu la Torati—Yaliyomo

      • Kumrudia Yehova (1-10)

      • Amri za Yehova si ngumu sana (11-14)

      • Kuchagua kati ya uzima na kifo (15-20)

Kumbukumbu la Torati 30:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “myatie tena moyoni mwenu.”

Marejeo

  • +Kum 11:26-28; 28:2, 15
  • +1Fa 8:47; Ne 1:9; Eze 18:28; Yoe 2:13
  • +2Fa 17:6; 2Nya 36:20

Kumbukumbu la Torati 30:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Isa 55:7; 1Yo 1:9
  • +Kum 4:29

Kumbukumbu la Torati 30:3

Marejeo

  • +Yer 29:14
  • +Omb 3:22
  • +Ezr 1:2, 3; Zb 147:2; Yer 32:37; Eze 34:13

Kumbukumbu la Torati 30:4

Marejeo

  • +Kum 28:64; Sef 3:20

Kumbukumbu la Torati 30:5

Marejeo

  • +Ne 1:9

Kumbukumbu la Torati 30:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ataitahiri.”

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Yer 32:37, 39
  • +Kum 6:5

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/1/2007, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w07 6/1 13

Kumbukumbu la Torati 30:7

Marejeo

  • +Mwa 12:2, 3; Yer 25:12; Omb 3:64; Ro 12:19

Kumbukumbu la Torati 30:9

Marejeo

  • +Isa 65:21, 22; Mal 3:10
  • +Yer 32:37, 41

Kumbukumbu la Torati 30:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Kamusi.

Marejeo

  • +Ne 1:9; Mdo 3:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    “Kila Andiko,” uku. 89

Kumbukumbu la Torati 30:11

Marejeo

  • +Isa 45:19

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2009, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 11/1 31

Kumbukumbu la Torati 30:12

Marejeo

  • +Ro 10:6

Kumbukumbu la Torati 30:14

Marejeo

  • +Ro 10:8
  • +Mt 7:21; Yak 1:25

Kumbukumbu la Torati 30:15

Marejeo

  • +Kum 11:26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    11/1/2009, uku. 31

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 11/1 31

Kumbukumbu la Torati 30:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “maamuzi yake ya hukumu.”

Marejeo

  • +Kum 6:5
  • +Law 18:5
  • +Law 25:18; Kum 30:5

Kumbukumbu la Torati 30:17

Marejeo

  • +Kum 29:18; Ebr 3:12
  • +Kum 4:19

Kumbukumbu la Torati 30:18

Marejeo

  • +Kum 8:19; Yos 23:15; 1Sa 12:25

Kumbukumbu la Torati 30:19

Marejeo

  • +Kum 11:26; 27:26; 28:2, 15
  • +Kum 32:47
  • +Yos 24:15

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 44

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 2 2018 kur. 14-15

    Ufahamu,

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    2/15/2010, uku. 28

    6/1/2006, uku. 27

    7/15/1999, kur. 11-12

    6/15/1996, kur. 12-17

    Amkeni!,

    2/2009, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 2/15 28; g 2/09 13; w06 6/1 27; w99 7/15 11-12; w96 6/15 12-17

Kumbukumbu la Torati 30:20

Marejeo

  • +Kum 10:12
  • +Kum 4:4
  • +Mwa 12:7; 15:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Maswali ya Biblia Yajibiwa, makala 44

    Mnara wa Mlinzi (Toleo la Watu wote),

    Na. 2 2018 kur. 14-15

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    2/15/2010, uku. 28

    11/1/2009, uku. 31

    6/1/2006, kur. 28-29

    7/15/1999, kur. 11-12

    Amkeni!,

    2/2009, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 2/15 28; w09 11/1 31; g 2/09 13; w06 6/1 28-29; w99 7/15 11-12

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Kum. 30:1Kum 11:26-28; 28:2, 15
Kum. 30:11Fa 8:47; Ne 1:9; Eze 18:28; Yoe 2:13
Kum. 30:12Fa 17:6; 2Nya 36:20
Kum. 30:2Isa 55:7; 1Yo 1:9
Kum. 30:2Kum 4:29
Kum. 30:3Yer 29:14
Kum. 30:3Omb 3:22
Kum. 30:3Ezr 1:2, 3; Zb 147:2; Yer 32:37; Eze 34:13
Kum. 30:4Kum 28:64; Sef 3:20
Kum. 30:5Ne 1:9
Kum. 30:6Yer 32:37, 39
Kum. 30:6Kum 6:5
Kum. 30:7Mwa 12:2, 3; Yer 25:12; Omb 3:64; Ro 12:19
Kum. 30:9Isa 65:21, 22; Mal 3:10
Kum. 30:9Yer 32:37, 41
Kum. 30:10Ne 1:9; Mdo 3:19
Kum. 30:11Isa 45:19
Kum. 30:12Ro 10:6
Kum. 30:14Ro 10:8
Kum. 30:14Mt 7:21; Yak 1:25
Kum. 30:15Kum 11:26
Kum. 30:16Kum 6:5
Kum. 30:16Law 18:5
Kum. 30:16Law 25:18; Kum 30:5
Kum. 30:17Kum 29:18; Ebr 3:12
Kum. 30:17Kum 4:19
Kum. 30:18Kum 8:19; Yos 23:15; 1Sa 12:25
Kum. 30:19Kum 11:26; 27:26; 28:2, 15
Kum. 30:19Kum 32:47
Kum. 30:19Yos 24:15
Kum. 30:20Kum 10:12
Kum. 30:20Kum 4:4
Kum. 30:20Mwa 12:7; 15:18
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Kumbukumbu la Torati 30:1-20

Kumbukumbu la Torati

30 “Maneno haya yote yatakapotimia kwenu, baraka na laana ambayo nimeweka mbele yenu,+ nanyi myakumbuke*+ katika mataifa yote ambako Yehova Mungu wenu atawatawanya,+ 2 nanyi mrudi kwa Yehova Mungu wenu+ na kuisikiliza sauti yake kulingana na yote ninayowaamuru leo, ninyi na wana wenu, kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote,+ 3 ndipo Yehova Mungu wenu atakapowarudisha mateka wenu+ na kuwaonyesha ninyi rehema+ na kuwakusanya tena kutoka katika mataifa yote ambako Yehova Mungu wenu aliwatawanya.+ 4 Hata watu wenu wakitawanywa mpaka mwisho wa mbingu, Yehova Mungu wenu atawakusanya na kuwarudisha kutoka huko.+ 5 Yehova Mungu wenu atawarudisha katika nchi ambayo baba zenu walimiliki, nanyi mtaimiliki; naye atawafanikisha na kuwafanya mwongezeke kuliko baba zenu.+ 6 Yehova Mungu wenu ataisafisha* mioyo yenu na mioyo ya wazao wenu,+ ili mumpende Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote na ili muweze kuishi.+ 7 Ndipo Yehova Mungu wenu atawaletea laana hizi zote maadui wenu, waliowachukia na kuwatesa.+

8 “Kisha mtarudi na kuisikiliza sauti ya Yehova na kushika amri zake zote ninazowaamuru leo. 9 Yehova Mungu wenu atawaletea mafanikio mengi katika kazi yote ya mikono yenu,+ atawafanya muwe na watoto wengi na mifugo mingi na mazao mengi ya ardhi yenu, kwa maana Yehova atafurahia tena kuwafanikisha, kama alivyofurahia kuwafanikisha mababu zenu.+ 10 Kwa maana wakati huo mtaisikiliza sauti ya Yehova Mungu wenu na kushika amri zake na sheria zilizoandikwa katika kitabu hiki cha Sheria, nanyi mtarudi kwa Yehova Mungu wenu kwa moyo wenu wote na kwa nafsi* yenu yote.+

11 “Sasa amri hii ninayowaamuru leo si ngumu sana kwenu, wala haiko mbali msiweze kuifikia.+ 12 Haiko mbinguni, hivi kwamba mseme, ‘Ni nani atakayepanda juu mbinguni ili atuletee, tuisikie na kuishika?’+ 13 Wala haiko ng’ambo ya bahari, hivi kwamba mseme, ‘Ni nani atakayevuka ng’ambo ya bahari atuletee, tuisikie na kuishika?’ 14 Kwa maana neno hilo liko karibu sana nanyi, katika kinywa chenu wenyewe na katika moyo wenu wenyewe,+ ili mlitende.+

15 “Tazameni, naweka mbele yenu leo uzima na mema, na kifo na mabaya.+ 16 Ikiwa mtazisikiliza amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru leo, kwa kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kutembea katika njia zake, na kushika amri zake na maagizo yake na sheria zake,* basi mtaishi+ na kuongezeka, na Yehova Mungu wenu atawabariki katika nchi mnayoenda kuimiliki.+

17 “Lakini moyo wenu ukikengeuka+ na kukataa kusikiliza, mshawishiwe na kuiinamia miungu mingine na kuiabudu,+ 18 nawaambia ninyi leo kwamba hakika mtaangamia.+ Hamtaishi kwa muda mrefu katika nchi mnayovuka Yordani ili kuimiliki. 19 Nachukua mbingu na dunia kuwa mashahidi dhidi yenu leo kwamba nimeweka uzima na kifo mbele yenu, baraka na laana;+ nanyi lazima mchague uzima ili mwendelee kuishi,+ ninyi na wazao wenu,+ 20 kwa kumpenda Yehova Mungu wenu,+ kwa kuisikiliza sauti yake, na kushikamana naye,+ kwa maana yeye ni uzima wenu na kwa uwezo wake mtaishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo Yehova aliapa kwamba angewapa mababu zenu Abrahamu, Isaka, na Yakobo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki