Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Shishaki ashambulia Yerusalemu (1-12)

      • Mwisho wa utawala wa Rehoboamu (13-16)

2 Mambo ya Nyakati 12:1

Marejeo

  • +2Nya 11:17
  • +Kum 32:15; 2Nya 26:11, 16

2 Mambo ya Nyakati 12:2

Marejeo

  • +1Fa 11:40; 14:25

2 Mambo ya Nyakati 12:3

Marejeo

  • +Nah 3:9

2 Mambo ya Nyakati 12:5

Marejeo

  • +1Fa 12:22-24
  • +Kum 28:15; 2Nya 15:2

2 Mambo ya Nyakati 12:6

Marejeo

  • +2Nya 33:10, 12

2 Mambo ya Nyakati 12:7

Marejeo

  • +1Fa 21:29; 2Nya 34:26, 27

2 Mambo ya Nyakati 12:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kutumikia falme za.”

2 Mambo ya Nyakati 12:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “jumba la.”

Marejeo

  • +1Fa 7:51
  • +1Fa 10:16, 17; 14:25-28

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    2/1/1988, uku. 26

2 Mambo ya Nyakati 12:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakimbiaji.”

2 Mambo ya Nyakati 12:12

Marejeo

  • +2Nya 33:10, 12
  • +Omb 3:22
  • +Mwa 18:23-25; 1Fa 14:1, 13; 2Nya 19:2, 3

2 Mambo ya Nyakati 12:13

Marejeo

  • +Kum 23:3; 1Fa 11:1; 14:21

2 Mambo ya Nyakati 12:14

Marejeo

  • +1Sa 7:3; 1Fa 18:21; Mk 12:30

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2018, kur. 14-15

2 Mambo ya Nyakati 12:15

Marejeo

  • +1Fa 12:22-24
  • +2Nya 9:29; 13:22
  • +1Fa 14:30, 31

2 Mambo ya Nyakati 12:16

Marejeo

  • +2Sa 5:9
  • +Mt 1:7

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Nya. 12:12Nya 11:17
2 Nya. 12:1Kum 32:15; 2Nya 26:11, 16
2 Nya. 12:21Fa 11:40; 14:25
2 Nya. 12:3Nah 3:9
2 Nya. 12:51Fa 12:22-24
2 Nya. 12:5Kum 28:15; 2Nya 15:2
2 Nya. 12:62Nya 33:10, 12
2 Nya. 12:71Fa 21:29; 2Nya 34:26, 27
2 Nya. 12:91Fa 7:51
2 Nya. 12:91Fa 10:16, 17; 14:25-28
2 Nya. 12:122Nya 33:10, 12
2 Nya. 12:12Omb 3:22
2 Nya. 12:12Mwa 18:23-25; 1Fa 14:1, 13; 2Nya 19:2, 3
2 Nya. 12:13Kum 23:3; 1Fa 11:1; 14:21
2 Nya. 12:141Sa 7:3; 1Fa 18:21; Mk 12:30
2 Nya. 12:151Fa 12:22-24
2 Nya. 12:152Nya 9:29; 13:22
2 Nya. 12:151Fa 14:30, 31
2 Nya. 12:162Sa 5:9
2 Nya. 12:16Mt 1:7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Mambo ya Nyakati 12:1-16

Kitabu cha Pili cha Mambo ya Nyakati

12 Mara tu baada ya utawala wa Rehoboamu kuimarika kabisa,+ naye akawa na nguvu, aliiacha Sheria ya Yehova,+ na Waisraeli wote pia wakaiacha. 2 Katika mwaka wa tano wa utawala wa Mfalme Rehoboamu, Mfalme Shishaki+ wa Misri alishambulia Yerusalemu, kwa maana hawakuwa waaminifu kwa Yehova. 3 Alikuwa na magari 1,200 ya vita, wapanda farasi 60,000, na idadi isiyohesabika ya wanajeshi waliokuja pamoja naye kutoka Misri—Walibya, Wasukii, na Waethiopia.+ 4 Aliyateka majiji yenye ngome ya Yuda na mwishowe akafika Yerusalemu.

5 Nabii Shemaya+ akaja kwa Rehoboamu na wakuu wa Yuda waliokuwa wamekusanyika Yerusalemu kwa sababu ya Shishaki, akawaambia: “Yehova anasema hivi, ‘Mmeniacha mimi, nami pia nimewaacha ninyi mikononi+ mwa Shishaki.’” 6 Ndipo wakuu wa Israeli na mfalme wakajinyenyekeza+ na kusema: “Yehova ni mwadilifu.” 7 Yehova alipoona kwamba wamejinyenyekeza, neno la Yehova likamjia Shemaya likisema: “Wamejinyenyekeza. Sitawaangamiza,+ na baada ya muda mfupi nitawaokoa. Sitalimwagia jiji la Yerusalemu ghadhabu yangu kupitia Shishaki. 8 Lakini watakuwa watumishi wake, ili wajue tofauti kati ya kunitumikia mimi na kuwatumikia wafalme wa* nchi nyingine.”

9 Basi Mfalme Shishaki wa Misri akashambulia Yerusalemu. Akachukua hazina za nyumba ya Yehova+ na hazina za nyumba ya* mfalme. Alichukua kila kitu, kutia ndani ngao za dhahabu ambazo Sulemani alikuwa ametengeneza.+ 10 Basi Mfalme Rehoboamu akatengeneza ngao za shaba zichukue mahali pa ngao hizo, akaziweka chini ya ulinzi wa mkuu wa walinzi,* aliyelinda mlango wa nyumba ya mfalme. 11 Wakati wowote ambapo mfalme alikuja katika nyumba ya Yehova, walinzi waliingia ndani na kuzichukua, kisha walizirudisha katika chumba cha walinzi. 12 Kwa sababu mfalme alijinyenyekeza, hasira ya Yehova iliacha kuwaka dhidi yake,+ naye hakuwaangamiza kabisa.+ Isitoshe, kulikuwa na mambo fulani mema yaliyopatikana nchini Yuda.+

13 Mfalme Rehoboamu aliimarisha mamlaka yake jijini Yerusalemu na kuendelea kutawala; Rehoboamu alikuwa na umri wa miaka 41 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 17 huko Yerusalemu, jiji ambalo Yehova alichagua miongoni mwa makabila yote ya Israeli ili kuweka jina lake humo. Mama yake aliitwa Naama, naye alikuwa Mwamoni.+ 14 Lakini alitenda maovu, kwa maana hakuwa ameazimia moyoni mwake kumtafuta Yehova.+

15 Na historia ya Rehoboamu, kuanzia mwanzo mpaka mwisho, je, haijaandikwa katika maandishi ya nabii Shemaya+ na mwonaji Ido+ katika kumbukumbu za ukoo? Kulikuwa na vita daima kati ya Rehoboamu na Yeroboamu.+ 16 Kisha Rehoboamu akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi;+ na Abiya+ mwanawe akawa mfalme baada yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki