Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Wakorintho—Yaliyomo

      • Wasimamizi wanapaswa kuwa waaminifu (1-5)

      • Unyenyekevu wa wahudumu Wakristo (6-13)

        • “Msipite mambo yaliyoandikwa” (6)

        • Wakristo ni tamasha (9)

      • Paulo awajali watoto wake wa kiroho (14-21)

1 Wakorintho 4:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “wasaidizi.”

Marejeo

  • +Mt 13:11; Ro 16:25, 26

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2012, uku. 11

    8/1/2000, kur. 14-15

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 12/15 11; w00 8/1 14-15

1 Wakorintho 4:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/2012, uku. 12

    12/1/1988, kur. 22-23

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 12/15 12

1 Wakorintho 4:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “baraza la wanadamu.”

1 Wakorintho 4:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Met 21:2; Ro 14:10; Ebr 4:13

1 Wakorintho 4:5

Marejeo

  • +Mt 7:1
  • +Met 10:9; 2Ko 10:18; 1Ti 5:24, 25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 515

1 Wakorintho 4:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “nimeyahamisha.”

Marejeo

  • +1Ko 1:12
  • +Ro 12:3; 2Ko 12:20; 3Yo 9

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/15/2008, uku. 7

    11/1/1989, kur. 29-30

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 4/15 7

1 Wakorintho 4:7

Marejeo

  • +Yoh 3:27

1 Wakorintho 4:8

Marejeo

  • +Ufu 20:4, 6
  • +2Ti 2:12; Ufu 3:21

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    1/15/2008, uku. 22

    1/15/1994, kur. 17-18

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 1/15 22

1 Wakorintho 4:9

Marejeo

  • +Ro 8:36; 1Ko 15:32; 2Ko 6:4, 9
  • +Ebr 10:33

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/2009, uku. 24

    9/15/1990, uku. 24

    5/15/1988, uku. 27

    Huduma ya Ufalme,

    8/2001, uku. 1

    Amkeni!,

    6/8/2000, uku. 13

    8/8/1998, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w09 5/15 24; km 8/01 1; g00 6/8 13; g98 8/8 21

1 Wakorintho 4:10

Marejeo

  • +1Ko 3:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    5/15/1988, uku. 27

1 Wakorintho 4:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kuwa uchi.”

  • *

    Au “kupigwa huku na huku.”

Marejeo

  • +Flp 4:12
  • +2Ko 11:27
  • +Mdo 14:19; 23:2; 2Ko 11:24

1 Wakorintho 4:12

Marejeo

  • +Mdo 18:3; 20:34; 1Th 2:9
  • +Ro 12:14; 1Pe 3:9
  • +Mt 5:44

1 Wakorintho 4:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “tunasihi.”

Marejeo

  • +1Pe 2:23

1 Wakorintho 4:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “watunzaji.”

Marejeo

  • +Gal 4:19; 1Th 2:11

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    8/1/1993, uku. 15

1 Wakorintho 4:16

Marejeo

  • +1Ko 11:1; Flp 3:17; 1Th 1:6

1 Wakorintho 4:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “mbinu.”

Marejeo

  • +2Ti 1:13

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    4/2018, uku. 14

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    1/2017, uku. 31

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/1987, uku. 14

1 Wakorintho 4:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

1 Wakorintho 4:21

Marejeo

  • +2Ko 13:10

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Kor. 4:1Mt 13:11; Ro 16:25, 26
1 Kor. 4:4Met 21:2; Ro 14:10; Ebr 4:13
1 Kor. 4:5Mt 7:1
1 Kor. 4:5Met 10:9; 2Ko 10:18; 1Ti 5:24, 25
1 Kor. 4:61Ko 1:12
1 Kor. 4:6Ro 12:3; 2Ko 12:20; 3Yo 9
1 Kor. 4:7Yoh 3:27
1 Kor. 4:8Ufu 20:4, 6
1 Kor. 4:82Ti 2:12; Ufu 3:21
1 Kor. 4:9Ro 8:36; 1Ko 15:32; 2Ko 6:4, 9
1 Kor. 4:9Ebr 10:33
1 Kor. 4:101Ko 3:18
1 Kor. 4:11Flp 4:12
1 Kor. 4:112Ko 11:27
1 Kor. 4:11Mdo 14:19; 23:2; 2Ko 11:24
1 Kor. 4:12Mdo 18:3; 20:34; 1Th 2:9
1 Kor. 4:12Ro 12:14; 1Pe 3:9
1 Kor. 4:12Mt 5:44
1 Kor. 4:131Pe 2:23
1 Kor. 4:15Gal 4:19; 1Th 2:11
1 Kor. 4:161Ko 11:1; Flp 3:17; 1Th 1:6
1 Kor. 4:172Ti 1:13
1 Kor. 4:212Ko 13:10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Wakorintho 4:1-21

Barua ya Kwanza kwa Wakoritho

4 Mtu anapaswa kutuona kuwa wahudumu* wa Kristo na wasimamizi wa siri takatifu za Mungu.+ 2 Katika hali hii, kinachotarajiwa katika wasimamizi ni kupatwa wakiwa waaminifu. 3 Basi kwangu si muhimu sana kuchunguzwa na ninyi au na mahakama.* Hata mimi sijichunguzi mwenyewe. 4 Kwa maana sioni kosa lolote dhidi yangu mwenyewe. Lakini hilo halithibitishi kuwa mimi ni mwadilifu; anayenichunguza ni Yehova.*+ 5 Kwa hiyo, msihukumu+ chochote kabla ya wakati unaofaa, mpaka Bwana aje. Ataleta mambo ya siri yaliyo ya giza kwenye nuru na pia kujulisha nia za mioyo, na ndipo kila mtu atakapopokea sifa yake kutoka kwa Mungu.+

6 Basi, akina ndugu, mambo haya nimeyatumia* kujihusu mimi mwenyewe na Apolo+ kwa faida yenu, ili kupitia sisi mjifunze kanuni hii: “Msipite mambo yaliyoandikwa,” ili msiwe na kiburi,+ na kumpendelea mtu mmoja kuliko mwingine. 7 Kwa maana ni nani anayekufanya wewe kuwa tofauti na mwingine? Kwa kweli, una nini ambacho hukupokea?+ Basi, ikiwa kwa kweli ulikipokea, kwa nini unajisifu kana kwamba hukukipokea?

8 Je, tayari mmetosheka? Je, tayari ninyi ni matajiri? Je, mmeanza kutawala mkiwa wafalme+ bila sisi? Ninatamani sana kwamba muwe mmeanza kutawala mkiwa wafalme, ili sisi pia tutawale pamoja nanyi tukiwa wafalme.+ 9 Kwa maana ninaona kwamba Mungu ametuweka sisi mitume mwisho katika wonyesho wa hadharani kama watu waliohukumiwa kifo,+ kwa sababu tumekuwa tamasha kwa ulimwengu,+ na kwa malaika, na kwa wanadamu. 10 Sisi ni wapumbavu+ kwa sababu ya Kristo, lakini ninyi ni wenye busara katika Kristo; sisi ni dhaifu, lakini ninyi ni wenye nguvu; ninyi mnaheshimika, lakini sisi hatuheshimiki. 11 Mpaka saa hii tunaendelea kuwa na njaa+ na kiu+ na kukosa mavazi ya kutosha* na kupigwa*+ na kuwa bila makao 12 na kufanya kazi ya taabu, tukifanya kazi kwa mikono yetu wenyewe.+ Tunapotukanwa, tunabariki;+ tunapoteswa, tunavumilia kwa subira;+ 13 tunapochongewa, tunajibu kwa upole;*+ tumekuwa kama takataka ya ulimwengu, uchafu wa vitu vyote, mpaka sasa.

14 Ninaandika mambo haya, si ili niwaaibishe, bali niwaonye kama watoto wangu wapendwa. 15 Kwa maana ingawa huenda mkawa na walezi* 10,000 katika Kristo, hakika hamna baba wengi; kwa maana katika Kristo Yesu mimi nimekuwa baba yenu kupitia habari njema.+ 16 Kwa hiyo, ninawasihi, iweni waigaji wangu.+ 17 Ndiyo sababu ninamtuma Timotheo kwenu, kwa kuwa yeye ni mtoto wangu mpendwa na mwaminifu katika Bwana. Atawakumbusha njia* zangu kuhusiana na Kristo Yesu,+ kama vile ninavyofundisha kila mahali katika kila kutaniko.

18 Wengine wamekuwa na kiburi wakidhani kwamba siji kwenu. 19 Lakini nitakuja kwenu hivi karibuni, Yehova* akipenda, nami nitajua, si maneno ya wale walio na kiburi, bali nguvu zao. 20 Kwa maana Ufalme wa Mungu si maneno tu bali ni nguvu. 21 Mngependa nini? Je, nije kwenu nikiwa na fimbo+ au kwa upendo na upole wa roho?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki