Ratiba ya Juma Linaloanza Aprili 19
JUMA LINALOANZA APRILI 19
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 23-25
Na. 1: 1 Samweli 23:1-12
Na. 2: Tunapaswa Kujua Nini Kuhusu Desturi za Ista na Sherehe ya Mwaka Mpya? (rs uku. 279 ¶1–uku. 280 ¶1)
Na. 3: Watu Walio Wakarimu Wanavyobarikiwa (Met. 11:25)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: “Watu Hujifunza Nini kwa Kukutazama?” Mazungumzo kwa maswali na majibu.
Dak. 15: Sanduku la Swali. Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Maandiko yasiyonukuliwa yasomwe na yazungumziwe.