WAMISHONARI
(Ona pia Shule ya Gileadi; Shule ya Mazoezi ya Kihuduma; To the Ends of the Earth [Video]; nchi hususa)
(Kuna kichwa kidogo: Manukuu)
historia: jv 521-546
idadi ya:
nchi ambazo wahitimu wa Shule ya Gileadi wanatumwa: jv 101, 524
nchi ambazo wamishonari wanatumika: w99 1/15 6
nchi ambazo wanafunzi wametoka: jv 524, 538
wamishonari mwaka wa 1955: jv 101
wamishonari ulimwenguni pote: w99 1/15 6
wamishonari waliozoezwa katika Shule ya Gileadi: jv 524
kabla ya Shule ya Gileadi kuanzishwa: jv 521-522
kuelewana na wamishonari wengine: w97 9/15 22
kujifunza lugha za kienyeji: w12 10/15 19-20; w11 6/1 24-25; yb11 242; yb10 111-112; yb09 99; w08 10/15 19; w08 12/15 24; yb08 225; w07 4/1 16; w06 4/1 14; w03 6/1 26; w01 5/1 26-27; jv 532-534
shauri la Ndugu Knorr: jv 534
kuzoea desturi mpya: w08 3/15 4; yb07 171; jv 531
kuzoea hali mpya: yb09 107-108, 111; jv 528-529, 531
Yesu ni mfano wa kuigwa: w08 2/15 12-13
maelezo: od 115-116; w01 10/15 27-30; jv 521-546
makusanyiko ambayo makutaniko duniani kote yaliwasaidia kuhudhuria:
1998, “Njia ya Mungu ya Maisha”: km 9/99 7
mambo yaliyoonwa: w01 4/1 27-29
hakuelewa aliombwa aondoke: yb04 52-53
kijana Mkatoliki ataka kuwa mmishonari wa dini ya Mashahidi: g98 8/22 32
kushinda siku nzima na wamishonari: w01 10/15 27-30
mmishonari amshawishi mtoto aache kucheza na bunduki bandia: w06 5/1 32
mmishonari awafundisha binti za mama aliyeachwa na mumewe, kisha mama: w09 9/1 10-11
mmishonari awafundisha wanafunzi wa shule kuhusu maadili: w98 6/1 8
upinzani: jv 541-543
wamishonari wakosa kusikiliza shauri la Mashahidi wenyeji: w01 5/1 26
wamishonari waponea chupuchupu: w10 8/1 28-29
mapendeleo ya utumishi: jv 541
mashauri kwa wamishonari kuhusu: w06 1/1 13-14; w03 6/15 23-25; w00 6/15 23-25; w00 12/15 25-27; g96 12/22 23
jinsi ya kufanikiwa: w09 9/1 29-30; w97 12/1 22-23
jinsi ya kuwa mwenye furaha: w09 9/1 30-31; w98 6/1 27
kufuata mwongozo: w12 8/1 28-29
kukabiliana na matatizo: w12 8/1 29-30
kumtegemea Yehova: w11 2/1 28-29; w10 8/1 29; w02 6/15 24-25
kuthamini mgawo: w11 8/1 29
kutumia nguvu za kufikiri: w10 2/1 29
kuwa kama “chumvi”: w05 7/1 14
kuwa na matarajio yanayoweza kutimizwa: w03 12/15 25
kuwazoeza wengine: w10 2/1 29-30
kuzoezwa na Yehova: w12 8/1 30
maendeleo ya kiroho: w05 7/1 14
mashaka: w12 8/1 29
mito ya mfano inaweza kuwazuia wamishonari wasipate baraka: w11 2/1 29
mtazamo juu ya eneo wanakotumwa: w09 9/1 30; w03 12/15 27; w97 6/1 30
uhusiano kati ya mume na mke: w08 8/15 30
“usiwe kile unachochukia”: w11 8/1 30
masimulizi ya maisha:
Elimu Ambayo Imeendelea Katika Maisha Yangu Yote: w04 10/1 24-28
Furaha Isiyo na Kifani!: w03 6/1 23-27
Jitihada Zetu za Kutafuta Hazina Zilituletea Utajiri wa Kudumu: w07 5/1 8-13
Kazi ya Kufanya Wanafunzi Imefinyanga Maisha Yangu: w07 4/1 12-16
Kufurahia “Uzima wa Sasa” Kikamili: w05 6/1 24-28
Kukaza Macho na Moyo Kwenye Tuzo: w96 8/1 21-25
Kumkumbuka Muumba Wetu Kutoka Ujanani Kuendelea: w00 1/1 24-29
Kupata Fadhili Zenye Upendo na Utunzaji wa Yehova: w04 2/1 23-27
Kutumika Wakati wa Ongezeko Kubwa Ajabu: w10 9/15 3-7
Kutumikia Popote Nilipohitajiwa: w01 2/1 24-29
Kwa Nini Ninafurahia Kufanya Wanafunzi: w07 2/1 12-15
Maamuzi Mazuri Yalileta Baraka za Kudumu: w07 1/1 12-16
Magumu ya Vita Yalinitayarisha kwa Ajili ya Maisha: g04 6/22 18-22
Maisha Yangu Yamekuwa Yenye Kuridhisha: g 2/11 25-27
Maisha Yenye Mambo Yasiyotazamiwa Katika Utumishi wa Yehova: w01 10/1 24-29
Mambo Halisi Yamezidi Mataraja Yangu: g00 5/8 30; g99 10/8 12-15
Marafiki kwa Miaka 60 na Ni Kama Urafiki wao Umeanza: w12 10/15 17-21
Mchukua-Nuru kwa Mataifa Mengi: w00 7/1 22-27
Mwenye Furaha na Shukrani Licha ya Kufiwa na Mpendwa: w01 6/1 23-27
Nafurahia Sehemu Yangu ya Kufundisha Biblia Duniani Kote: w05 7/1 8-12
Nilichagua Kazi Inayofaa: g 3/07 13-15
Niliimarishwa Kukabili Majaribu Yaliyokuwa Mbele: g96 12/22 19-23
Nilimwona “Mnyonge” Akipata Kuwa “Taifa Hodari”: w97 11/1 19-22
Nilisaidiwa Kuacha Kuwa Mwenye Haya: w00 6/1 20-25
Nimebarikiwa Sana kwa Kudumisha Roho ya Umishonari: w04 1/1 22-27
Nimeona Kundi la Mungu Likikua Nchini Korea: w08 12/15 23-26
Nimeona Nguvu za Kweli ya Biblia: w10 12/15 26-30
Nimepata Mambo Mengi Mazuri: w11 4/15 29-32
Nimepata Shangwe Maishani kwa Kufanya Mapenzi ya Mungu: w08 6/1 28-31
Pendeleo la Kushiriki Upanuzi Baada ya Vita: w02 10/1 23-27
Tuliazimia Kumtumikia Yehova: w06 4/1 12-16
Tulikotumwa Kuwa Mishonari Kumekuwa Nyumbani: w02 12/1 24-28
Tulishirikiana: w01 4/1 24-29
Tumeungana Katika Utumishi wa Mungu Kupitia Nyakati Nzuri na Mbaya: w96 3/1 23-27
Tunapata Nguvu na Shangwe kwa Kuendelea Kufuata Njia ya Yehova: w01 5/1 24-28
‘Twaishi Si kwa Ajili Yetu Wenyewe Tena’: g99 6/22 30; g98 10/22 20-25
Wazazi Wetu Walitufundisha Kumpenda Mungu: w99 12/1 20-24
Yehova Alithawabisha Sana Tamaa Yangu ya Kuwa Mmishonari: w06 11/1 8-12
Yehova Ni Ngome na Nguvu Yangu: w00 2/1 25-26, 29
“Yehova Ni Nguvu Zangu”: w08 10/15 17-20
matakwa: od 115-116
mifano: w06 6/1 29-30
baada ya kuacha utumishi wa mmishonari: w08 3/1 13-14
kuwatunza wazazi wazee: g04 6/8 8
mmishonari aliyefungwa gerezani: w10 7/15 15
mmishonari aliyemtunza dada mwenyeji anayeugua UKIMWI: w05 8/15 29
mmishonari aliyepona kansa: w96 3/1 23, 26-27
wanafunzi wa Shule ya Gileadi wanaeleza kilichofanya waamue kuwa wamishonari: w98 12/1 24
wanaofurahi kwamba walichagua kuwa wamishonari: w05 2/1 16; w04 6/1 19; w02 4/15 5-6
mifano katika Biblia: w10 11/1 24-26
Yesu Kristo: w08 2/15 12-20
mtazamo kuhusu nchi wanakotumwa: jv 546
nchi za asili za wamishonari: jv 540-541
ndugu wanatiwa moyo wajitolee kuwa wamishonari: w04 6/1 18-19
waangalizi wanaosafiri: jv 539-540
Wakristo wa mapema:
maeneo ya mbali zaidi ya mashariki ambayo walifika: w09 1/1 20-23
wameanzisha kazi ya kuhubiri katika nchi nyingi: jv 534-535
wamishonari wa dini zinazodai kuwa za Kikristo:
Afrika: w12 9/1 27-28; ba 11; g96 4/22 20-21
Asia: ba 11-13
Japani: re 229
Madagaska: w09 12/15 29-31
maeneo yaliyogawiwa madhehebu mbalimbali: jv 525-526
miradi ya kutafsiri Biblia: w97 10/15 8-10; ba 11-13
Tahiti: g 8/08 13-15
walichochea Vita vya Kasumba (China): re 263
walivyo tofauti na Mashahidi: jv 525-528
wamishonari kutoka Afrika, Asia, na Amerika Kusini watumwa Amerika Kaskazini na Ulaya: w04 3/1 3-4
wanazingatia shughuli za kuwasaidia watu: g03 6/22 28-29
wanavyotegemezwa kifedha: jv 526-528
wanawasaidia Mashahidi wenyeji: jv 537-539, 541
wasimamizi wa Shirika la Watch Tower walivyoendeleza utumishi wa wamishonari:
Knorr, N. H.: jv 522-526
wazazi wanavyohisi: bt 178
wengine wanavyoweza kuwasaidia: w03 7/15 19
Manukuu
ikiwa mtu anashangilia kwa kutumiwa na Yehova, basi mahali pamoja pafaa kama penginepo: jv 546
niliamua kuishi kimwili na kiakili pia katika Kolombia: jv 546