Kutoka 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+ Mambo ya Walawi 19:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya mtu mwenye mvi,+ nawe umwonyeshe ufikirio mtu mzee,+ nawe umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova. Isaya 58:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+
12 “Mheshimu baba yako na mama yako+ ili siku zako zipate kuwa ndefu juu ya nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe.+
32 “‘Unapaswa kusimama mbele ya mtu mwenye mvi,+ nawe umwonyeshe ufikirio mtu mzee,+ nawe umwogope Mungu wako.+ Mimi ni Yehova.
7 Je, si kumgawia mwenye njaa mkate wako,+ na kwamba uwaingize nyumbani kwako watu wanaoteseka, wasio na makao?+ Kwamba, ukimwona mtu aliye uchi, umfunike,+ na kwamba usijifiche kutoka kwa watu wenye damu moja nawe?+