Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 18:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Yethro akasema: “Na abarikiwe Yehova, ambaye amewakomboa kutoka katika mkono wa Misri na kutoka katika mkono wa Farao, na ambaye amewakomboa watu kutoka katika mkono wa Misri.+

  • Kumbukumbu la Torati 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Utakapokuwa umekula na kushiba,+ wewe pia unapaswa kumbariki+ Yehova Mungu wako kwa ajili ya mema ya nchi ambayo amekupa.+

  • 1 Wafalme 1:48
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 48 Na hivi pia ndivyo alivyosema mfalme, ‘Abarikiwe+ Yehova, Mungu wa Israeli, ambaye leo ametoa mtu wa kuketi juu ya kiti changu cha ufalme, macho yangu yakiwa yanaona jambo hilo!’”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 29:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Daudi akaendelea kuliambia kutaniko lote:+ “Sasa mbarikini+ Yehova, Mungu wenu.” Nalo kutaniko lote wakambariki Yehova, Mungu wa mababu zao, wakainama+ na kumsujudia+ Yehova na mfalme.

  • Luka 1:68
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki