10 Basi Yethro akasema: “Na abarikiwe Yehova, ambaye amewakomboa kutoka katika mkono wa Misri na kutoka katika mkono wa Farao, na ambaye amewakomboa watu kutoka katika mkono wa Misri.+
48 Na hivi pia ndivyo alivyosema mfalme, ‘Abarikiwe+ Yehova, Mungu wa Israeli, ambaye leo ametoa mtu wa kuketi juu ya kiti changu cha ufalme, macho yangu yakiwa yanaona jambo hilo!’”+
20 Na Daudi akaendelea kuliambia kutaniko lote:+ “Sasa mbarikini+ Yehova, Mungu wenu.” Nalo kutaniko lote wakambariki Yehova, Mungu wa mababu zao, wakainama+ na kumsujudia+ Yehova na mfalme.