Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Ndipo Yoshua akaanza kusema na Yehova siku ile ambayo Yehova aliwatia Waamori mikononi mwa wana wa Israeli, naye akasema machoni pa Israeli:

      “Ewe jua,+ simama tuli juu ya Gibeoni,+

      Nawe mwezi, juu ya nchi tambarare ya chini ya Aiyaloni.”+

  • Yoshua 19:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 na Shaalabini+ na Aiyaloni+ na Ithla,

  • Waamuzi 1:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Kwa hiyo Waamori wakaendelea kukaa katika Mlima Heresi na katika Aiyaloni+ na Shaalbimu.+ Lakini mkono wa nyumba ya Yosefu ukawa mzito sana hivi kwamba wakalazimishwa kufanya kazi ngumu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 na Beria na Shema. Hao walikuwa vichwa vya nyumba za mababu, za wakaaji wa Aiyaloni.+ Hao ndio waliofukuza wakaaji wa Gathi.

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Nao Wafilisti+ wakavamia majiji ya Shefela+ na Negebu+ katika Yuda na kuteka Beth-shemeshi+ na Aiyaloni+ na Gederothi+ na Soko+ na miji yake ya kandokando na Timna+ na miji yake ya kandokando na Gimzo na miji yake ya kandokando; nao wakaanza kukaa humo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki