Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 13:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Basi Abramu akaendelea kuishi katika mahema. Baadaye akaja na kukaa kati ya miti mikubwa ya Mamre,+ ambayo iko katika Hebroni;+ na huko akamjengea Yehova madhabahu.+

  • Mwanzo 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na baada ya hayo Abrahamu akamzika Sara mke wake katika pango la shamba la Makpela mbele ya Mamre, yaani, Hebroni, katika nchi ya Kanaani.+

  • Hesabu 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Walipopanda kuingia Negebu,+ ndipo wakafika Hebroni.+ Sasa Ahimani, Sheshai na Talmai,+ wale waliozaliwa kwa Anaki+ walikuwa huko. Hebroni+ lilikuwa limejengwa miaka saba kabla ya Soani+ la Misri.

  • Yoshua 10:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi Adoni-sedeki mfalme wa Yerusalemu+ akatuma ujumbe kwa Hohamu mfalme wa Hebroni+ na kwa Piramu mfalme wa Yarmuthi+ na kwa Yafia mfalme wa Lakishi+ na kwa Debiri mfalme wa Egloni,+ akisema,

  • Yoshua 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Yoshua akambariki, akampa Kalebu mwana wa Yefune, Hebroni kuwa urithi wake.+

  • Yoshua 15:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akampa Kalebu+ mwana wa Yefune fungu katikati ya wana wa Yuda kama Yehova alivyomwamuru Yoshua, yaani, Kiriath-arba (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki), yaani, Hebroni.+

  • Yoshua 21:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nao waliwapa wana wa Haruni kuhani jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji,+ yaani, Hebroni,+ na kiwanja chake cha malisho, pia Libna+ na kiwanja chake cha malisho,

  • Waamuzi 1:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Basi Yuda akapiga mwendo kwenda juu ya Wakanaani waliokuwa wakikaa katika Hebroni+ (basi jina la Hebroni hapo zamani lilikuwa Kiriath-arba),+ nao wakamuua Sheshai na Ahimani na Talmai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki