18 Basi Abramu akaendelea kuishi katika mahema. Baadaye akaja na kukaa kati ya miti mikubwa ya Mamre,+ ambayo iko katika Hebroni;+ na huko akamjengea Yehova madhabahu.+
22 Walipopanda kuingia Negebu,+ ndipo wakafika Hebroni.+ Sasa Ahimani, Sheshai na Talmai,+ wale waliozaliwa kwa Anaki+ walikuwa huko. Hebroni+ lilikuwa limejengwa miaka saba kabla ya Soani+ la Misri.
3 Basi Adoni-sedeki mfalme wa Yerusalemu+ akatuma ujumbe kwa Hohamu mfalme wa Hebroni+ na kwa Piramu mfalme wa Yarmuthi+ na kwa Yafia mfalme wa Lakishi+ na kwa Debiri mfalme wa Egloni,+ akisema,
13 Naye akampa Kalebu+ mwana wa Yefune fungu katikati ya wana wa Yuda kama Yehova alivyomwamuru Yoshua, yaani, Kiriath-arba (huyo Arba alikuwa baba ya Anaki), yaani, Hebroni.+
13 Nao waliwapa wana wa Haruni kuhani jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji,+ yaani, Hebroni,+ na kiwanja chake cha malisho, pia Libna+ na kiwanja chake cha malisho,
10 Basi Yuda akapiga mwendo kwenda juu ya Wakanaani waliokuwa wakikaa katika Hebroni+ (basi jina la Hebroni hapo zamani lilikuwa Kiriath-arba),+ nao wakamuua Sheshai na Ahimani na Talmai.+