Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Na ikawa kwamba baada ya kifo+ cha Yoshua, wana wa Israeli wakamuuliza+ Yehova, wakisema: “Ni nani kati yetu atakayepanda kwanza kwa Wakanaani ili kupigana nao?”

  • Waamuzi 20:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kisha wakasimama, wakapanda kwenda Betheli, wakaulize kutoka kwa Mungu.+ Ndipo wana wa Israeli wakasema: “Ni nani kati yetu atakayeongoza pigano juu ya wana wa Benyamini?”+ Yehova akasema: “Yuda ataongoza.”+

  • 1 Samweli 14:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Basi Sauli akasema: “Pigeni kura+ kuamua kati yangu na Yonathani mwanangu.” Ndipo Yonathani akachukuliwa.

  • Nehemia 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Basi wakuu+ wa watu walikuwa na makao yao katika Yerusalemu;+ lakini wale watu wengine walipiga kura+ kuleta ndani mtu mmoja kati ya watu kumi ili waishi Yerusalemu lile jiji takatifu,+ na wale watu wengine, sehemu tisa, waishi katika yale majiji mengine.

  • Methali 16:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Watu hutupa kura ndani ya mkunjo wa nguo,+ lakini kila uamuzi unaofanywa kupitia kura hiyo hutoka kwa Yehova. +

  • Matendo 1:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Kwa hiyo wakawapigia kura,+ na kura ikamwangukia Mathia; naye akahesabiwa pamoja na wale mitume kumi na mmoja.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki