Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 9:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Baadaye, watu wote wenye mashamba wa Shekemu na nyumba yote ya Milo+ wakakusanyika pamoja wakaenda, wakamfanya Abimeleki atawale akiwa mfalme,+ karibu na ule mti mkubwa,+ nguzo iliyokuwa katika Shekemu.+

  • 2 Wafalme 14:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Yehoashi mfalme wa Israeli akatuma ujumbe kwa Amazia mfalme wa Yuda, na kusema: “Gugu lenye miiba lililokuwa katika Lebanoni lilituma ujumbe kwa mwerezi+ uliokuwa katika Lebanoni, na kusema, ‘Mpe mwanangu binti yako awe mke wake.’ Hata hivyo, mnyama wa mwituni aliyekuwa katika Lebanoni akapita karibu, akalikanyaga lile gugu lenye miiba.+

  • Zaburi 58:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kabla vyungu vyenu havijapatwa na mkwamba uliowashwa,+

      Ulio mbichi na pia ule unaowaka, ataipeperusha kama upepo wa dhoruba.+

  • Methali 15:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Yehova ataibomoa nyumba ya watu waliojiinua,+ lakini atauweka imara mpaka wa mjane.+

  • Methali 16:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kiburi hutangulia kuanguka,+ na roho ya majivuno hutangulia kujikwaa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki