Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Tafadhali, ichukue zawadi ya baraka yangu iliyoletwa kwako,+ kwa sababu Mungu amenipa kibali na kwa sababu nina kila kitu.”+ Naye akaendelea kumhimiza, hata akaichukua.+

  • 2 Wafalme 5:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo akarudi kwa yule mtu wa Mungu wa kweli,+ yeye na kambi yake yote, akaenda, akasimama mbele yake na kusema: “Tazama, sasa, hakika ninajua kwamba hakuna Mungu yeyote mahali pengine popote duniani isipokuwa katika Israeli.+ Na sasa, tafadhali pokea zawadi ya kubariki+ kutoka kwa mtumishi wako.”

  • Methali 11:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Kuna mtu anayetawanya na bado anaongezewa;+ pia kuna mtu anayewanyima wengine yaliyo sawa, lakini hilo huleta uhitaji tu.+

  • Methali 18:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Zawadi ya mwanadamu itamfungulia nafasi kubwa,+ nayo itamwongoza hata mbele ya watu wakuu.+

  • Matendo 20:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Nimewaonyesha ninyi wazi katika mambo yote kwamba kwa kufanya kazi+ kwa bidii hivyo ni lazima mwasaidie wale walio dhaifu,+ na lazima myakumbuke maneno ya Bwana Yesu, aliposema, ‘Kuna furaha zaidi katika kutoa+ kuliko ilivyo katika kupokea.’ ”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki